Nami kuna mmoja amenisumbua sanaa, lkn saiv amenipa appointment ya papuchi....Je, cku tukikutana kuna haja ya kukumbushia mitusi yake, kumuuliza kwa nn alinifanya vile?
Una weledi ktk suala hili hongera sana Barafu, ni vzr umetujuza na wengne tusiojua....maana tatzo kubwa nnaloliona kwny awamu hii ni wajuvi sn wa kucheza na media!
Pole sn katoto kadhuri, fanya km mnavyotufanyaga.... tafuta mwny kivuli cha mwembe (maisha madhuri) jikinge, ukijipeleka kw mwenye kivuli cha mpapai imekula kwako!
Kuna cku tukiwa p/s mtu wa mazingaombwe alihtaj mtu mmoja amfanyie demo, haraka sana akainuka bishoo mmoja... watu wote weeweeeee.....
Nyuki wakaitwa wakaanza kumng'ata yule mshkaj, alikata viuno balaah, akawa anajikunja km nyoka kwa kujikuna lkn nyuki wanaomng'ata hawaonekani, mwsho zikatulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.