Wakuu nina simu yangu samsung note 5, nataka nibadili imei namba nipeni ujuz jinsi ya kufanya. Nimesaidiwa mengi jukwaa hili hope na hili nitasaidiwa.
Natanguliza shukrani.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wakuu natumia simu aina ya samsung note9, ilikua inachaji fresh with dk 55 simu imejaa chaji yale ilikua fast charge...ghafla imezngua sasa hivi masaa matatu chaji iko asilimia 40.
tatizo linaweza kuwa nini?
Natanguliza shukrani.
Jana mitaaa ya Kinondoni nimekutana na Pauline Zongo akiwa kachoka sana saa 4 asubuhi kalewa chakari na ana mwonekano kama kachoka inasikitisha sana......
Nadhani anahitaji msaada wa hali ya mali.
Soma pia > Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana
Wakuu nimeibiwa simu yangu Infinix hot 9 na rafiki wa karibu. Msaada wa toka kwenu nampataje? Nimemfuatilia central majibu ya njoo kesho yamekuwa mengi nina kila kitu include IMEI namba.
Wakuu kuna uzi jinsi gani ulianza kuishi ghetto humu. Umenivutia nimeona nichukue room nione maisha yakoje ombi langu kama kuna dalali pande za Ubungo, Kimara na Mwenge anisaidie nipate chumba nianze maisha.
Kama kutakuwa na dalali anicheki PM tuyajenge nataka chumba kuanzia elfu 50 na...
Mifugo Tz Pet's Clinic inatoa huduma za matibabu, chanjo, operations mbali mbali, kuhasi na huduma nyingine nyingi kwa wanyama kama mbwa, paka, kasuku, njiwa, etc
Madaktari wetu wana experience ya kutosha, kwani wamekua wakiifanya kazi hii kwa miaka mingi
Veterinary Services from Mifugo Tz...
Wakuu habari za majukumu.Mimi bwana ni mchunguliaji wa jf toka zamani sana nilikua guest tuu kusoma thread za watu basi..Basi tangu nimeijua jf nikajikuta navutiwa sana na bibie Nifah.
KWANINI ALINIVUTIA?
Cha kwanza Nifah alinivutia(sio kimapenzi)kutokana na kushabikia vitu...
RAIS MAGUFULI NA JIPU LA MSHIPA WA MOYO
Aprili mwaka jana nilifanya mahojiano na Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, aliyeihudumia nchi hii kwa miaka 10 mfululizo wakati wa utawala wa Rais wa Tatu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa.
Katika mahojiano hayo, kipo kipindi nilimtaka...
Wakuu,
Nimekua na jambo linalonitatiza sana katika kutembea na jinsia tofauti sijawai date na msichana aseme hajanifananisha na boy au ndugu yake yoyote.
Msichana wangu wa kwanza(o level)nilimpata alisema nimefanana na mtoto wa anko yake ambae yuko UK(binamu najua alikua anakula).Yani alikomaa...
Samahani wakuu,
Naomba kujua hatma ya walimu wa sanaa (ARTS) waliopo vyuoni na wale waliomaliza chuo toka 2015. Naona kama washatupwa, zikiongelewa ajira mpya wanajisifu na zile ajira elfu tatu za sayansi ila kuna lundo la vijana wetu zaidi ya elfu ishirini waliomaliza chuo mwaka juzi hawajui...
Vanessa Mdee
Wherever you are, God is Bigger than, Stronger than, Realer than all the other forces that be. Stay UP brother @roma2030 #VivaRoma #FreeRoma #FreeMoni roho inauma na nimetoka kumsikiliza mkeo redioni hajui hata ulipo sasa ndiyo nini is this where we are at now? Ma studio yanavamiwa...
Wadau nina swali
Ni tukio gani ulishawahi kulifanya ukiwa mtoto mpaka leo ukikumbuka unatabasamu liwe baya au zuri kivyovyote...
Upande wangu mimi
Tukio zuri ni kufaulu mtihani wa darasa la nne aisee nilifurahi sikumbuki kama nimewahi kufurahi vile.
Tukio baya nilikutwa na baba na mama...
Habari
Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na...
MKASA WA RAIS KICHAA
Miaka 11 iliyopita, mwanamuziki wa Reggae nchini Zambia, Maiko Zulu alitoa wimbo unaoitwa Mad President (Rais Kichaa). Wimbo huo ndiyo uliobeba jina la albamu yake aliyoitoa mwaka 2006.
Wimbo Mad President ulimwingiza Zulu kwenye matatizo ya kibiashara, kwani Shirika la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.