Madiwani wanalipwa posho kutokana namakusanyo ya ndani ya Halmashauri husika. Sasa kama Halmashauri hiyo chanzo chake ni ushuru wa mazao ikiwemo korosho tatizo linakuwa wapi?
Halmashauri nyingi za Mikoa ya Kusini zinategemea ushuru wa mazao mbali mbali kama chanzo yamapato ya ndani. Korosho ni zao moja ambalo lilikuwa linaziingizia Halmashauri fedha nyingi za ndani. Kwa mfumo wa ununuzi wa korosho wa msimu huu wa 2018/2019, Halmashauri zinaonekana zitakosa mapato...
Hujui unachokiandika.......
Magufuli ni mbaguzi, hajiamini ni mtu wa kupenda kusifiwa hata kwenye vitu vya kijinga. Anaenda kudhalilisha Viongozi wengine kama alivyotaka kufanya kwa Mhe. Heche kule Tarime bahati mbaya akakutana na mgumu. Anaonesha wazi wazi upinzani/ukosoaji ni uadui dhidi...
Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara alikuwa na ziara katika Halmashauri kadhaa ikiwemo Nanyamba. Katika ziara yake hiyo moja ya kundi alilokutana nalo ni watumishi wa kada ya Elimu (Walimu, Waratibu Elimu Kata, Maafisa Elimu na wengineo).
Nilishangazwa sana na Mkuu huyu wa Mkoa aliposema...
JINSI YA KUCHANGIA MATIBABU YA MHE. TUNDU ANTIPHAS LISSU
Benki: CRDB
Jina la Akaunti: CHADEMA M4C
Namba: 01J1080100600
Tawi: MBEZI BEACH
_Huhitaji kwenda Benki_
Unaweza kuchangia kwenda kwenye akaunti hiyo ya benki kupitia huduma za M-PESA au Tigo Pesa na au Airtel Money kama ifuatavyo...
Hapa kwetu Masasi umeme wetu umekuwa kama wa mshumaa, upepo ukivuma kidogo unazima.
Tanzania ya viwanda yaja..............
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Zubeda Hassan Sakuru akamatwa na Polisi Mbambabay Wilayani Nyasa.
Mbunge huyó ambaye anatoka Mkoa wa Ruvuma amekamatwa mchana huu akiwa anakamilisha maandalizi ya Kikao cha ndani Wilayani huyó.
Kikao hicho kinatarajiwa kuongozwa na Katibu Mkuu Dr Vincent...
Hata mtoto wa chekechea atakuona Juliana mpuuzi. Ukiangalia hata kwenye picha Wabunge wa CHADEMA wako wengi wewe peke yako. Maana yake umewafuata. Wacha ule kichapo
Haihami Sema huelewi mfano huu. Fuatilia tangu tumeanza chaguzi kwa mfumo wa vyama vingi nani anapoteza Majimbo, Kata, Vijiji/Mitaa na Vitongoji na nani anaongeza katika kila uchaguzi. Hapo utaelewa maana ya mfano huo
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI KANDA YA KUSINI
HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA
Kata ya Maguu
Waliojiandikisha 6903
Waliopiga kura 4101 (59.41%)
Kura zilizoharibika 29 (0.6%)
CCM: 2355 (57.43%)
CHADEMA: 1717 (41.86)
MANISPAA YA SONGEA.
Kata ya Tanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.