Siku hizi hata GS na BAM wanagrade kama ni A,B,C,D nk kama unavyoona kwenye matokeo!! Siyo MTU una 70 ya BAM unawekewa S kama zamani
Post sent using JamiiForums mobile app
Ninawezaje kutafuta kiki kwa mtu asiyetumia hata 2% ya ubongo wake kufikiria?
Yaani wewe kila kitu ni kukurupuka tu na ndo maana wengi tunakushangaa ulivyokurupuka hapo.
Jitahd uwe unafikiria hata kidogo duu!!!
Hata hivyo sidhani kama wewe una ubongo uliosawa maana unadhid kujidhihirisha tu...
Watu uelewa ni mdogo wanalazimisha kujadili vitu vikubwa ambavyo hawana uelewa navyo hata kidogo!!
OK fine..manji ni supplier wa mihuli na sare lkn anaruhusiwa kumiliki ziada? Maana kama ni kusupply anapata tenda ya idadi inayotakiwa na kupeleka panapohusika kwa wakati, inakuwaje sasa ana...
Wewe ndo jibwa kubwa kuliko hata hao unaowambia mbwa,watu wanahoji alifuata nn wakati hakutumiaka? Kulikuwa na haja gani ya kumsafirisha kama kulikuwa na mtu anaweza kucheza nafasi yake?
Matumizi mabaya ya pesa hayo
Sio kwa povu hilo utakuwa na maslahi binafsi wewe!
Wakati mwingine wabongo hamueleweki mnataka nn na hamtaki nn,kila kitu kupinga!!kwa mfano wewe kuna siku katika maisha yako umewahi kuona Rais amefanya cha maana? Kila kitu kwako hakina maana!! Ni ujinga sana kuwa namna hiyo,unadhani kukosoaji...
Eti watu wamekomaa kumkandia msukuma....hivi ninyi mnaomkandia mnajua hata moja ya kumi tu ya ubongo wa msukuma hamna au sabb mna vyeti wakt ktk uhalisia wa maisha hakuna mlichokifanya!!!
Msukuma siyo mwenzenu akili kubwa ile nadhani hata ninyi mnashangaa VP mtu mnayeamini hana akili...
Yaani ww hata moja ya kumi ya akili ya msukuma huna,fikiria Mara mbili nadhani unaelewa na nashangaa unatumia vigezo gani kusema hana akili au vyeti????
Msukuma siyo type yako kwa akili yake kubwa anaweza kukuajiri na kukulipa mshahara wowote unaotaka!!!
UDSM kuna certificate mpaka degree kama huelewi uliza....mfano wa certificate zao ni law ambayo hutolewa kupitia matawi yake kama mwanza,Zanzibar,mbeya,ukonga,iringa na hata hapo main campas!!
Unaandamana ili ufanye nn cha kusaidia wananchi?
Anayeandamana ni nani kama sio kushawishi wananchi wenye fikira ndogo waandamane.
Mikutano inatusaidia nn?
Eti wapinzani wamebanwa kwa hiyo unataka watukane wafanye fujo sawa tu!!
Sisi tufunge maduka yetu kisa maandamano?
Hivi yawezekana...
Kwa hiyo wewe unataka chochote watangaze hata kama ni uchochezi? Hivi kweli watu humu wengi ni wajinga sana Ila wanaamini ni welevu,kama wewe una brain kabisa umewezaje kufikiri hiyo kauli ktk sentensi ya kwanza.
Unaelewa weledi wa kazi ya uandishi na utangazaji habari? Unaielewa mipaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.