Tochi,(headlights naona imekuwa fashion Siku hizi watu kutembea nazo usiku), kama mikoa ya baridi mablanketi yanatembea sana, batteries, radio za kuchaji kwa jua, kama Kuna udongo mwekundu brash za kufulia nguo, spare za pikipiki etc.
Supu ni mlo unaoweza kutumia kwa breakfast ama kama chakula cha jioni haswa kwa watu wanaozingatia uzito na ufanisi wa chakula mwilini.
Supu standard inatakiwa kuwa ni mlo uliokamilika, inaweza kuwa supu ya mbogamboga, sea food, ama nyama za kawaida Ila uwepo wa mbogamboga hâta kama ni supu ya...
Kuna mdada tulisoma nae, tulifahamiana Ila hatukua karibu kivile.
Siku hiyo naona amenitext messenger ananisalimia Kisha akaniambia amenimiss sana alikua anaikubali personality yangu, nikashangaa kidogo kwa sababu yeye kitabia alikua ni introvet kwa hiyo sikuwahi waza kama angekua anatazama watu...
Mkuu Inaonekana unapenda sana kunya yaani kiasi unajinasibu nako kuwa wewe ni mnyaji bingwa zaidi hadi unakunyia ndani unapokula na kupumzisha akili, mbali zaidi mnachangia mande hicho kitendo.....
Kuonyesha mpo serious mnahifadhi mbolea hadi inachachuka na kuanza kutoa harufu mbovu.... Kuvuka...
Zipo mashine za kukamua juice bila kuweka maji, ila utahitaji mboga nyingi sana kuweza kupata walau glass moja ya hiyo juice.
Kama unahitaji kutengeneza juice hizo lengo tu likiwa ni kupandisha pH ya damu yako basi naamini kula Moja Kwa Moja mboga mboga hizo pamoja na baadhi ya matunda yenye...
Kutoka DSM, najihusisha na ujasiliamali wa kutengeneza viungo vya chakula, detox tea, unga wa lishe maalum kwa ajili ya watoto, wagonjwa wenye upungufu wa kinga pamoja na wamama wanaonyonyesha, natengeneza mafuta ya kukuza nywele na bidhaa nyinginezo za urembo.
Hua naandaa pia kwa ajili ya...
Jiunge na vyama mbalimbali vinavyohusiana na shughuli unazozifanya au vyama vya kijinsia hali etc, ukilipa ada wanakuadd kwenye list, vyama hivi hupewa mialiko na organizers na wao hutoa mialiko Kwa wanachama wao pamoja na taratibu za kushiriki.
Kama ni mfanyabiashara Kuna TCCIA.
Kama ni...
Mechanism ya kufanya kazi ya jiwe la nyoka ni ule uwezo wake wa kufyonza Kwa kua zina high binding affinity.
Sasa mfupa, huu wa mnyama wa kawaida tuu mathalan wa ng'ombe aidha ukiuchoma au ukiuchemsha kwa muda mrefu sana au kwa kutumia pressure cooker (kama umewahi andaa supu ya kongoro hadi...
Mkuu Kuna hii code walikufungulia!?
Ile chupa anayotumia muuza mafuta momkama kipimo nadhani ni ya maji ya hills water,? ambazo Kitako chake kina asili ya kua flat, sasa wao wanaogelea na mkondo huo.
Zile chupa hua wanazikalisha kidogo kwenye hot plate , zinapungua ukubwa maana yake kwenye...
Kama umejenga eneo ambalo nyoka walikuwepo hapo kabla inakua kama umevamia makazi Yao..... Utawaua mara Kwa mara.
Kuna miti maalum ambayo hupandwa kama uzio... Miche yake hufanana kama mche wa kisamvu na ipo mingi tuu inauzwa mitandaoni.
Kama unavichaka au bustani za maua kuzunguka nyumba...
Akicheza nafasi ya mama, sauti yake vile anaongea Kwa upole na utulivu bila kubwatuka hovyo kama wasanii wengi "wanavyoigiza katika uigizaji wao". Tena enzi hizo kabla ya kampeni za kuwaasa waigizaji waache maigizo Bali wavae uhusika katika kazi zao, hakika alinikosha sana.
Hakika sote ni wa...
Niliwahi kusoma Mahali, hiyo Hali inaitwa mid-life crisis.... Ni hali ambayo watu wengi huwatokea katika umri was miaka 35-45 ila inaweza kutokea katika umri wowote pia.
Wengi hua na mawazo ya kujilaumu na kujiona useless kisa tuu mtu ameshindwa kufikia malengo yake makubwa ya kimaisha...
1. Kula chakula hai/chenye kiini cha uhai
Chagua chakula ambacho kiini Cha uhai wake haujaharibiwa kama ni tunda basi mbegu yake iwe na uwezo wa kuota na kuendeleza kizazi.
Pia chakula fresh ni bora zaidi kuliko chakula kilichoandaliwa na kuhifadhiwa Kwa muda mrefu.
2. Kula chakula kizima
Hii...
Ishu muhimu katika kiwanda cha maji ya kunywa sio kuwa tu na cha chanzo cha maji, Bali ni kuweza kuzalisha maji katika mazingira yanayokidhi ubora ili yaje kua salama kwa mtumiaji.
Kwa hiivyo hapo unachohitajika kujiandaa navyo ni kituo cha uzalishaji kinachokidhi ubora, mashine za kuchuja...
Kama performance yake shuleni ni nzuri mwacheni afanye mtihani, wanafunzi wengi wanaopata ujauzito shuleni sijui sababu ya udogo ama vipi matumbo Yao hua hayatokezi sana kiasi cha kuleta attention kwa watu, mshoneeni uniform oversize itasaidia kumsitiri.
Mnatakiwa kumpa moyo kuwa hiyo sio...
Maduka mengi Ila kwa urahisi msimbazi kariakoo, yanapopaki magari ya mabibo na wanasukana sana watu huo mtaa, Kuna duka kubwa la vipodozi, perfumes bidhaa za usafi n.k jina limenitoka Ila linaonekana tuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.