Bajaji inauzwa bei sawa na bure ni kampuni ya Sinoray.
Capacity cc200
Seats 8
Usajiri ni DSG
full document
Ni kununua na kuingia barabarani haina changamoto yoyote
Bei ni Milioni 3,200,000 haipungui
Pia naitoa kwa mkataba kama wewe ni dereva una leseni na una mdhamini.
Mawasiliano 0758161628...
Habari wanajukwa.
Leo acha niwasanue wasimamizi wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha nyegezi mkoani mwanza.
Huenda hawajui haya au wanajua ila wanafumbia macho
Kwanza wale wanaokatisha tiketi za kuingia ndani kituoni mara nyingi ukiwapa pesa kubwa wanakata shilingi 300 badala ya sh 200...
Habari zenu wana Jamiiforum bila kuwachosha naombeni ushauri juu ya hii bajaji.
Ni kampuni ya Sinoray J3 ina uwezo wa kubeba watu 8, cc 200. Inatumia rejeta nimeiona nikaipenda sana na bei yake ni M7.8 maana nimeona kama inafaa zaidi kulingana na idadi ya watu inaobeba.
Naombeni ushauri wenu...
Habari wanajukwa,
Bila kuwapoteza muda, acha niende kwenye mada moja kwa moja.
Kwanza moja kwa moja naomba kila atakayesoma hapa atambue kuwa mimi ni wa Kijani na njano.
Sasa leo acha niwape hii kidogo.
Leo ndani ya Manispaa ya Kahama kulikuwa na mkutano wa kile chama cha wasema kweli na...
Habari.
Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?
Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?
Kuna mdau wa...
Habari zenu waungwana nimepata dharura mara moja na niko nchi ya watu yaani Bujumbura Burundi, ila changamoto nimepata dharura ya kurudi Tanzania mara moja na pesa sitaki kuchaji sababu narudi soon, nimekuwa nikisikia mara mtu kakamatwa airport na milioni kadhaa sasa nashindwa kuelewa kama ni...
Habari wanajukwaa natumai kuwa wote tuko salama.
Nimekuwa kimya kwa muda kidogo kuandika mada humu kutokana na majukumu mengi, ila leo kuna jambo limenishitua na nimeona siwezi kukaa kimya maana kila nikijaribu kukaa kimya nashindwa na nimeona nije kupata ufafanuzi hapa.
Hapa JF kuna watu...
Nimeamua kuwapongeza ninyi maana bila ninyi maisha yangekuwa magumu sana hususani kwa sisi tunaotegemea internet muda wote...Ila kupitia ninyi mmefanya maisha kuwa rahisi mno asanteni sana..
Habari
Nisiwachoshe baada ya vifurushi vya internet kupanda na gharama kuwa kubwa nikaona sasa niachane na maswala ya kuweka bado na kuanza kutumia mambo yetu yale ya maVPN ili nipate free internet.. sasa tatizo linakuja kwenye kuongeza muda maana naona inakata kabla ya muda niliouweka Mimi...
Habari zenu wanaJF,
Kama mjuavyo baadhi ya madhehebu hususani haya ya kipendekoste wana utaratibu wao wa kuchumbia ambao sharti uanze kwa mzee wa kanisani kumuelezea dhamira yako juu ya binti ambaye umempenda kabla hata hujaongea naye.
Sasa hapa kanisani kwetu kuna binti mmoja nimemchunguza...
Habari
Kwanza poleni kwa msiba wa taifa.
Niende kwenye mada
Kuna binti mmoja nimekutana nae mwaka mmoja uliopita nikampenda akazungusha zungusha mwisho akakubali kuwa na mimi.
Ila baada ya kukubali kuwa na mimi alitoa sharti moja kwamba kama kweli nampenda anipeleke anitambulishe kwa ndugu...
Wapinzani walikuwa wanachelewesha maendeleo
Mafuta ya alizeti lita 3 kutoka 8000 mpaka 15000
Lita 5 kutoka 12000
Mpaka 25000
Lita 20 kutoka 52000
Mpaka 77000
Tunasema mitano tena
Habari,
sina mengi ya kuongea ila kuna jambo moja huwa naliona kwa baadhi ya mabinti na binafsi naona kama ulimbukeni au ushamba fulani pale unapompeleka lunch sehemu zile kubwa kubwa.
Kuna tabia ya baadhi yao kuagiza vitu asivyoweza kutumia au asivyoweza kumaliza.
Kuna mmoja leo kanikera...
Aise kama kuna watu wanaisoma namba na wataisoma zaidi basi ni wafanyabiashara wa awamu hii maana kodi za sasa hazilipiki kabsa
Sina mengi ya kuongea ila kwa hali ya sasa naona kama mtu una mtaji wako bora ukafanye biashara hata somalia
maana kodi za hapa kwa sasa naona kama kukomoana na...
Licha ya umbali wa nilipojiandikishia kupiga kura na sheria za NEC kumtaka kila mtu kupigia kura pale alipojiandikishia tu.
Basi mimi Gluk nimeshaandaa safari ya kwenda kupiga kula umbali wa KM 200
Maana naamini kura yangu moja inaweza kuwaondoa watanzania katika hiki kifungo cha zaidi ya miaka...
Habari zenu.
kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kutapeliwa na matapeli wa mtandao na uharifu mwingine unaofanana na huo licha ya watanzania walio wengi kusajili namba zao kwa alama za vidole ila imepunguza tatizo na si kumaliza tatizo.
Tatizo lingine ni la watu kuibiwa simu na ukifuatilia...
Habari zenu.
Mwaka 2016 kulikuwa na couple humu zenye mbwembwe sana ila ghafla mwanzoni mwa 2019 zikaanza kufifia na mwaka 2020 zikapotea kabsa na sasa sioni watu wakiandikiana maneno mazuri kwenye siku zao za kuzaliwa kama zamani.
kipindi hicho kila mmoja humu alikuwa na mpenzi humu,.
Je...
Habari.
Nimejaribu kufanya utafiti wangu kwa muda sasa kuhusu aina mbili za mabinti waliozaliwa familia zenye uwezo au wale wenye uwezo wa kipesa uliosimama wasio na maisha ya kuunga unga na super glue.
Mosi, mabinti hawa hata unapoongea nao wanaongea point zaidi na wana uwezo mkubwa wa...
Habari wanajukwaa
Simu hii japo ni mpya ila kwenye suala la fingerprint unaweza kuweka zaidi ya mara nne isitokea ikagoma muda mwingine inakubali ila muda mwingine inagoma. Hii ni tofauti na simu niliyoizoea ya J6plus ambayo ni nagusa mara moja tu.
Naombeni msaada wa kitaalamu je tatizo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.