Wanajukwaa, naomba msaada ili nijue jinsi ya kuondokana na makohozi kwenye Koo. Ninasikia ni kama kitu kimekaa kwenye koo, nikijaribu kumeza hakishuki na pia hakitoki.
Ni hali ambayo sikuwa nayo lakini tangu inianze ni muda mrefu sana. Inanikera sana. Nimejaribu kuwaeleza madaktari lakini...
Yaani kikubwa ambacho nimekiona kwa waafrika wengi ni kuwa tulipata uhuru wa kujitawala kama nchi lakini fikra bado ni za kitumwa sana na hapa ndio penye mzizi wa tatizo letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.