Kumbe alikuwa mwenyewe kwenye hadhira ya dini, akasahau yeye ni mwanasiasa. Huwezi kutenganisha dini na siasa. Dini na siasa ni maisha ya mwanadamu. Hakuna mwenye hati miliki ya kingine! Kama vile ambavyo Kikwete amezungumzia masuala ya dini ndivyo ambavyo Kiongozi wa Dini anaweza kuzungumzia...
Pasco aliyekupatia haki wewe kutoa maoni yako ndiye aliyewapatia TEC kutoa maoni yao. Hakuna mwenye monopoly ya kutoa maoni. Sauti ya kinabii ni pamoja na kuwasemea watu. Hata hivyo ukumbuke kuwa maaskofu wa Tanzania ni watanzania kama wewe. Mali za watanzania ni mali zao, hivyo wana haki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.