Habari Wadau, Nimepata tenda ya kusimamia mashamba ya parachichi ya Waholanzi sasa wamenipa pesa kiasi ya kununua usafiri Off- Road.
Kuna bajeti ya 20M kwa ajili ya gari hapa nafikilia 8M natia mfukoni alafu 12M nitafute hiki kigari SUZUKI JIMNY je kitahimiri mikiki ya huko shambani kwa WAZOEFU...
Hii ni kwa wakazi wa Kahama,
Wanahitajika Maafisa mauzo 20, wahi nafasi ni chache. Elimu Form Four.
Tuma maombi yako, email: dnlysang@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya wakati huu wanajamvi!
Leo nimeona vema niwaletee mezani mada hii.
Katika harakati za kupambana na Maisha kama kijana pia mwenye kiu ya kufanikiwa nilikutana na jamaa mmoja mwenye USHAWISHI wa hali ya juu hapa JF
baada ya kusoma Nyuzi zake kali zilizoteka hisia za vijana wengi...
Habari wadau, nimenunua pikipiki mpya Boxer BM 150, kwa ajili ya matumiz binafsi napenda kufahamu ni mda gani sahihi au ni baada ya KM ngapi natakiwa kubadili Engine oil.
Shukrani sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.