SAWA NI KWELI KWAMBA WANAHITAJI MUDA WA KUTOSHA
ILA
siyo wote akili zetu hazina kumbukumbu sawia, kama ni muda tuliwapa wakutosha kwenye utekeaji wa Ulimboka, Kibanda na mauaji ya MAWAZO hivyo tunaweka kando suala la Roma atupatie majibu sawia katika hiyo mifano ya kitambo na mingine...
NYONGEZA: hakuna nchi iliyofanikiwa kwa kutumia mfumo wa kimla hapa duniani , bali nchi hiyo ipo katika ulimwengu wa kufikirika, lazima watu wawe huru na kutumia uhuru huo kujiletea mafanikio siyo mtu mmoja na chama kimoja tu wapewe haki.
MSAMEHENI HUYU KWA MAANA UFAHAMU WAKE UMEISHIA KWENYE KUPIGA RAMLI NDIYO MAANA ANALINGANISHA MZOGA NA MAITI AKITAKA KUPATA TASWIRA YA KIUMBE HAI, RWANDA, BURUNDI, KONGO NA ZINAZOFANANA NA HIZO HAZIWEZI KUWA MIFANO YA UTAWALA BORA NA DEMOKRASIA.
Nianze kwa kumnukuu m/kiti wa kamati ya bunge ya mali asili na utalii, Ndg . Lembeli (MBUNGE) Amessema--- kuna watanzania wachache wanaoshirikiana na wa majangili katika kuiba na kusafirisha wanyapori hai, watanzania hao wanashiriki kufanikisha wizi huo. mwisho wa kunukuu. HIVI KWELI HUYU...
Hawa ndiyo vinara wetu wa kuchakachua haki zetu, check wanao ongoza kwa kupata mlungula hapa TANZANIA
1. JESHI LA USAALAMA WA RAIA (POLISI)65.1%
2.MAHAKAMA 56.4%
3.MAMLAKA YA USAJILI WA UZAZI NA VIFO (RITA) 46.7%
4. JESHI LA MAGERZA TANZANIA 43.2% 5.MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA 40.8% 6. MAMLAKA...
safi sana, ameweza kuonyesha kwamba pinda alipotoka India alitakiwa kufanya ninni??? alipoona serikali ya wenzetu inavyotumia raslimali zao vizuri, Pinda alisema - serikali ya India viongozi wake wote wanatumia magari ya kawaida ambayo mengi hata hayana 4wd kama kiongozi anataka gari la gharama...
Acha kukurupuka wewe binaadamu, kama hauna cha kuchangia bora pumba zako ukaziweka kando, unakumbuka pinda alipoyoka ziara nchini india alisema nini kuhusu haya mashangingi na matumizi yasiyo na tija kwa taifa??
Inashangaza sana lakini kweli, rais kikwete leo kakutana na mkurugenzi wa kampuni iliyonunua mitambo ya dowans, hivi kweli kwa mauzauza na kichefuchefu cha RICHMOND na baadaye DOWANS rais anaweza je kumkaribisha mtu mwenye mahusiano ya kumiliki kampuni tata ikulu, mbona kuna maeneo mengi tu...
tumeshuhudia Tundu Lisu na nwenzake wakiwa wameshikiliwa na jeshi la polisi tarime, hivi kweli siyo kwamba serikali na jeshi la polisi imejipalia mkaa kwa kumpeleka Lisu kuona hali halisi ya hukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelezwa na jeshi la polisi na magereza???
hivi taaluma za watanzania huwa zinaheshimika? naona kila mahali wanasiasa ndo wameshika atamu, daktari bosi wake mbunge, enginia kwa diwani hakoi, hakimu naye hana pakupumulia, kuna taifa lilopiga hatua kwa kuwategemea hawa wanasiasa?>??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.