Please Vote: Kama nawewe unaungana nami kuwa mwanasiasa aliyetengeneza mkanda wa Lwakatare alaaniwe ungana nami:-
Fungua hiyo link hapo juu mwaga maombi yako mara moja
Please Vote: Kama nawewe unaungana nami kuwa mwanasiasa aliyetengeneza mkanda wa Lwakatare alaaniwe ungana nami:-
Jamani kama siyo yeye tupigeni kura ya maombi tu hapo kwenye hiyo link hata siku tatu ni nyingi mtamuona kama ni mzima
Please Vote: Kama nawewe unaungana nami kuwa mwanasiasa aliyetengeneza mkanda wa Lwakatare alaaniwe ungana nami:- fungua hapa uanze maombi yako moja kwa moja
Pole sana mheshimiwa! Umeongea point ila haijafika kwenye point of view!
Hata kama unaichukia siasa hujui kuwa unaishi kwenye siasa?
Kama wewe unajituma katika shughuli zako na umefanikiwa na sisi tunaonyanyaswa huku siku tukianzisha vita utabaki na mafanikio yako hayo? Wewe si utakimbia sana...
Imeniuma sana baada ya kupata maelezo ya mateso ya kijana kutoka Bukoba, nikajiaminisha kuwa Mwigulu Nchemba niye mhusika mkuu wa hili suala pale alipotamka anayo video ya viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji.
Mwigulu asikudanganye mtu, usiombe upate kisasi cha Mungu kwa haya unayoyafanya...
nimefurahi umeongea pointi ya nguvu sana! Ila hii serikali sidhani kama itatusaidia mpaka hili tatizo litatulike labda kama Dr. W Slaa atakuja kuwa Rais hapo sawa! Ila waliomo saivi.......
Kwanza nakupongeza wewe ni msomi comment yako imenifurahisha, sukari...sukari...sukari..chumvi...chumvi...na baadaye chunguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ahahahah!
Ukweli ni kwamba nimekosea tu mkuu, lengo langu lilikuwa "Tusikae kusubiri serikali itutekeleezee kutulindia amani, kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.