Nenda katibiwe hospitals kubwa kama Muhimbili Au Agakhan? Huyo Dr wa Amana uwezo wake ndo ulipoishia ila kuna vipimo vingi tu unapaswa kuvifanya na wataalaam wabobezi. Nenda Muhimbili uokoe maisha yako.
Hivyo vitu vyote ulivyotaja ni viambatanishi tu but make sure you have enough energy/calories. Ni Sawa nakusema gari gari umeifanyia service kali oil mpya, hydraulic mpya, radiator umeweka coolant new halafu hujaweka mafuta halafu washa utembee!! Dadeek!!
Wasalaam Wana JF. Ndugu wanaume tujihadhari sana na huu ushauri wa Prof Janabi anaetamba sana Mitandaoni kwasasa kuhusu kufanya diet. Mojawapo ya mambo anayosisitiza sana ni Kutokula Chakula cha Wanga (Carbohydrates).
Nawatahadharisha wanaume wenzangu ili upige show kwa mkeo, girlfriend na...
Mwanangu nipo hapa Cate hotel ndo nataka kurudi town. Nakiwaza sana hichi kipande cha nane nane mpaka Msamvu!! Na hizi pombe za Eid!!! Pale kama kuna Izraeli mtoa roho!!!
Daah!! Aisee umenishitua!! Itakuwa balaaa!! Na hao TANROAD inatakiwa waanze kujipanga lakini pia Mkoa wajipange ili ili iwe at least njia nne yaani mbili kuingia na mbili kutoka City Center.
Mjinga sana wewe! Uliwahi kujiuliza Nchi hii ina bucha ngapi na kila bucha inalipia leseni na mapato sh ngapi? A unajua ng’ombe mbuzi ngapi zinaenda kuuzwa nje? (Live Animal) achilia mbali exported packed meat?? Hapo bado hujasema ngozi na other products!!
Ama kweli Nchi hii bado ina wajinga...
Huyu Bashe huwa najiuliza alipewaje huo uwaziri? Hana sifa huyo hata hao wanyamwezi wa hapo Nzega washamchoka sema hela anayotembeza na kuwachinjia ng’ombe ndo inamsaidia kurudi Bungeni; na huo mradi CAG aukague lazima atakuta upigaji, maana pale Chinangali hakuna hata Mhindi au ulezi uliolimwa...
Bilionea wa mchongo huyo!! Anasema alipanda boda boda toka Dar mpaka Wami kukwepa police kumbe alikuwa anakimbia deni!! Kajificha vichakani huko Arusha. Asakanywe popote alipo arudishwe Dar kwa gharama zake. Kafanya mambo ya kingese sana.
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mheshimiwa anajiandaa na uchaguzi 2025 unatarajia hela atoe wapi? Na wale vijana “wakulima wa mchongo” hawaonekani pale. Hakuna dalili ya wakulima wanaochapa kazi pale.
Bro unaonekana hujui malengo ya JF!! Hapa tunapeana mikakati ya kufanikisha kibiashara, kilimo, ufugaji nk; sasa wewe unaweka siri ili ikusaidie nini? Weka mambo hapa ili tujifunze kama huna la maana Kaa kimya sio kila mtu unamwambia akufuate DM!
Nimepita juzi kwenye Mradi wa BBT Dodoma Chinangali, Hakuna zao walilootesha mpaka sasa, wameishia kujenga uzio na nyumba za kuishi kama apartments! Sasa najiuliza kuna Mkulima kweli pale? Hakuna cha trekta Au watu wanapiga jembe!!? Usanii mtupu! Hii project ikaguliwe na CAG na kama kuna upigaji...
Daaah!! Yaani wazeee hamuachi huyu Masauni nae akafurahia mwaka mpya!!!? Yaani mwaka bado mbichi kabisa wazeee mmewasha moto!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye hili sakata lazima kuna uzembe wa watoa huduma. Hata kama hakuwa na hela sioni sababu ya kushindwa kumzalisha; iwe kwa njia ya kawaida au operation. Walipaswa wahakikishe mama anajifungua na kama kuna madai yangefuata baadae Na sio hivyo walivyofanya. Wahusika wawajibishwe kwa mujibu wa...
Manispaa ya Morogoro inaongoza kwa kuwa na huduma mbovu za Barabara nje ya mji na Maji. Nje ya Mji ndiko wanakoishi wakazi wengi sio hapo mjini kati lakini mmeshindwa kuwatendea haki. sijui Mkurugenzi na Madiwani wake wanafanya kazi gani?
Ni viongozi walioshindwa kabisa kutengeneza barabara za...
Hii Manispaa ya Morogoro ni hovyo sana!! Hawa jamaa hawajengi barabara za rami za mitaani tofauti kabisa na Halmashauri za Manispaa zingine! Sijui viongozi Mbunge, Meya, Madiwani na Mkurugenzi wanawaza nini!!? Hata hawana. Uchungu kabisa na Wananchi wao. Hebu Nenda Manispaa za Tabora na Kigoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.