Habari muda huu ndugu zangu watanzania.... Kwa wale mliopo mkoani shinyanga nahitaji chumba cha kupanga.
Conditions: Chumba na Sebule(Master)
Budget:70,000/= Per month
Ikiwa na fence itakuwa jambo la heri
Kama upo serious ni PM
Habari za muda huu ndugu watanzania wenzangu... Naamini tunaendelea vyema katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna haja ya serikali kuangalia kwa ukaribu shughuli za uratibu wa masuala ya malipo hasa upande wa network.
Mfano halisi ni kuwa leo...
Habari za muda huu wapendwa. Natumaini mnaendelea vyema na mapambano ya COVID 19 bila shaka Mungu anawasimamia kila iitwapo leo.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.. Mimi kama kijana ambaye mwenye ari ya kufanya kilimo nahitaji kuagiza tractor nje ya nchi ila kinachonipa ugumu ni...
Habari za muda muda huu wanajamvi. Ni matumaini yangu kuwa mnajiandaa vema na maandalizi ya kuupokea mwaka.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya masuala ya uzazi. Kwa mwanamke ambaye mimba imetunga nje ya mji wa mimba ina uwezekano wa kuweza kusurvive...
Kwanza kabisa nishukuru mashirika yote yanayotoa bima za afya kwa watanzania hakika wanafanya kazi kubwa sana kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma za kiafya zililizobora kabisa.
Lakini suala linakuja katika hizi hospitali zetu.Unakuta unaenda hospitali upimwa vzr tuu mwisho wa siku...
Habari za asubuhi wapendwa natumaini ni Jumatatu nyingine tena ambapo kila mmoja anajiandaa kwenda katika majukumu ya ujenzi wa taifa niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo juu.
Je kwa wataalamu wa masuala ya uzazi ni zipi sababu zinazofanya mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi..??
Je...
Habari za asubuhi wapendwa,
Natumaini ni Jumatatu nyingine ambapo kila mmoja anajiandaa kwenda katika majukumu ya ujenzi wa taifa basi na Mungu awe pamoja nanyi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kwamba nina mpenzi wangu ambaye nipo nae katika mahusiano si kwa kipind kirefu sana lakini...
Jiunge na Alliance in Motion ufurahie biashara ya mtandao(Network marketing) Ni kampuni iliyoanzishwa nchini Uphilipino mwaka 2006 ambayo inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za Afya ambazo zimetengenezwa kwa kutumia matunda na mboga za majani hivyo zimecontain virutubisho(Nutrients) zote...!!! Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.