Tunabaguliwa natunabaguana jaribu kuangalia mabango ambayo yapo kwenye mpaka wa Mara/mwanza sasa Simiyu BANGO la Kutokea Mara kuingia Mwanza linasomeka hivi; KARIBU MKOA WA MWANZA na kisha angalia bango la kutokea mwanza kuingia Mara linasomeka hivi ; SASA UNAINGIA MKOA WA MARA as if kuna...
sababu ni kuwa makampuni ya MADINI ambayo yalikuwa yanalipa mrahaba wa 3% kwa serikali yetu/Taifa letu tayari huo mrahaba viongozi wetu walisha chukua mpaka ziada ambayo ilikuwa haijawa ya kulipwa sasa tayari viongozi hawa wa CCM na serikali yake wamechukua mikopo ya kuendeshea nchi kwa...
Akihitimisha hoja yake ya Mawasiliano na Uchukuzi amesema hakuna kujisaidia njiani hata kama unaharisha humo humo kwenye basi au chombo cha usafiri unachotumia
Basi wekeni sheria ya wenye mabasi au vyombo vya usafiri waweke vyoo kwa ajili ya abiria kujisaidia maana kuna umuhimu gani wa kupiga...
kwakuwa sasa imekuwa ni system napendekeza na wananchi kuwa na mgomo usiokuwa na kikomo mpaka pale huduma muhimu za kibinadamu zitakapoboreshwa na kuturithisha ambazo ni sekta ya afya kila sehemu na kuwepo na vifaa tiba,huduma za uhakika za kupata nishati ya umeme kwa ajili ya matumizi yetu...
wakizinduka hapo ni ama wagonge meza au waunge mkono hoja wasiyoijua
sio lazima kuhudhuria vikao kama hauwezi kuwakilisha waliokutuma. inawezekana sheria ya kinyonyaji ya kuhusu mafao ya wafanyakazi ilipita kwa style hii...!!
kwenye mechi iliyotangazwa jana napendekeza pia mashindano ya nani...
Unajua kuwa mabadiliko ya kweli yataletwa na mimi mwenyewe kwa kushirikiana na wewe je uko tayari kufanya mabadiliko kwa lengo la kuokoa Taifa na kizazi hiki na kijacho
umesahau mhimili usio rasmi wa habari na pia ubabe na kiburi cha spika na wasaidizi wake wote hawaoni umuhimu wa kanuni za bunge na sheria zilizopo pamoja na katiba ya JMT
Kwa jinsi anavyo onekana kweli huyu jamaa atabaki kutamani uwaziri kama u****** wa Mtoto mdogo akigusa tu kabaka na adhabu yake ni maisha jela na kazi ngumu pamoja na kuchapwa viboko 12 siku ya kuingia na siku ya kutoka fimbo 12 ili akamuonyeshe mke na watoto wake
kwani Dr.Slaa alikwenda ifakara kwa ajili ya kusalimiana na kikwete ama kumsindikiza mpendwa wetu na mpamanaji na pia mtetezi wa wanamorogoro na watanzania wanaopigwa na kunyanyaswa na hiyo serikali ya ******
jamani eleweni mambo mengine kama magreat thinker sio kujadili jambo ambalo halina tija...
hapa kuna mkono wa mtu @ajali anayoipata kiongozi wa watu huwa anakufa peke yake kulikoni mbona watawala wa wananchi wao wasipatwe na hizi ajali mafisadi wanahusika hapa uchunguzi huru ufanywe .R.I.P Regia
Wana wa nchi hii ya Tanganyika Utaifanyia nini nchi yako kwenye huu mchakato wa katiba mpya ili siku na wewe historia yako iandikwe
kwenye kumbukumbu za Taifa la Tanzania
MH,kikwete antoa hotuba yake kwenye mkutano wa kupata fursa za uwekezaji katika mikoa ya kigoma ,Rukwa na katavi lakini kwa kujua kuwa hii ni nafasi ya kuwa fanya watanzania wengi wa maeneo husika kujua nafasi yao kwenye uwekezaji unaotakiwa kufanyika kwenye maeneo yao je kutumia lugha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.