Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalimu wa Tagamenda sekondari. Kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila aliemshauri alimjengea chuki.
Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa...
Tuombeane jamani, natamani nifike mpaka Zanzibar.kuna Shosti wangu ananipanga kwamba kwa sasa nikinunua mzigo kutoka Zanzibar kuja bara bandarini hakuna usumbufu tena Kama zamani. Mwenye uzoefu na hii safari amsaidie. Naomba kahela kangu nisije nikakalilia.
Naomba jeshi la polisi mumsaidie huyu baba. Kwa hatua aliyofikia asije akajidhuru polisi mkasema hamkupata taarifa. Nikiri wazi mke wake ni rafiki yangu na kuna mengi tumefanya naye hadi baadhi ya Mali ambazo amekuwa akinunua amekuwa akinishirikisha. Lakini katika manyanyaso anayompa mume wake...
Naombeni kwa mwenye uelewa anisaidie.nateseka sana kuna muda vinawasha sana. Nimeenda hospitali mara kadhaa ila bado sijapata nafuu.mnisaidie ndugu zangu.
Lwakatare Mungu anakuona!
Mimi siamini kama kweli bado Lwakatare ana faida yoyote ndani ya CHADEMA. Lwakatare niliwahi kufanya naye kazi CUF enzi hizo, ni mtu makini na anayejua mipango ya kiusalama. Hivi tatizo ni lipi lililompata mtu huyu? Yaani CHADEMA sasa hivi upande wa usalama ni hovyo...
Wafanyakazi wengi nchi hii akili zao wanazijua wenyewe.
Kitendo cha yule mama kubaki pale ni kiashiria tosha kabisa kwamba mwenye nyumba alituchezea sinema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maneno yaliyo ndani ya waraka wa lissu yanaonyesha wazi nani aliepanga shambulizi lake.
Huu ni mtazamo wangu wangu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo hatari kwa mchezo huu ni miyomboni maeneo ya voda shop,posta ,Ipogoro,Kihesa na stand kuu
Bila kulidhibiti hili kundi la hawa vijana jeshi letu litaendelea kusumbuka kila siku.
Naomba nianze kwa maskitiko nikiwa kama mwananchi au abiria,kinachoendelea IRINGA kinasikitisha.Bajaji zimezuiwa kupita barabara kuu,na zikionekana baadhi ya sehem zinakamatwa.Madereva wa haisi nao hawajabaki nyuma,wakiwaona barabara kuu wanawagonga kwa hila sasa hivi kweli hii ndio Iringa mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.