habari wanajamii., naomba msaada wa jinsi ya kuipata hiyo battery au kama kuna mdau anayo anicheki., natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wowote nitao upata
habari gani wanaJF., ninaomba msaada wa jinsi ya ku'upgrade android os ya simu from 1.5 to 2.1 au 2.2 (froyo). natanguliza shukrani za dhati.
nilijaribu ku'upgrade automatic lakini haikuniletea option hiyo kwenye simu., kuna baadhi wamenishauri nijaribu manually sasa ndo sijui vip.,
WanajaJF,., Kama nilivyoeleza,. kwa mtu yeyote ambaye atakuwa akihitaji hiyo 4n,.(nokia N900), ANI'PM. Usihofu bei ni maelewano. Ipo kwenye hali nzuri.
HAbari zenu wanaJF. Nina laptop yangu imeungua housing(cover) lake. napenda kuuliza kama huwa zinapatikana na kama zinapatikana ni maeneo gani? mimi nipo Dar na laptop yangu ni DEll INPIRON. Natanguliza shukrani za dhati
Habari zenu wanaJF.
nilichukua NOKIA N900, siku kadhaa zilizopita. Ila kwa sasa nikitaka kuingia ovi store au ku'update inaniletea hii message "NOKIA MESSEGING PASSWORD. This is password the first email address set up for Nokia messeging".,. yani inanitaka niweke hiyo password. Naomba msaada...
Wanajf ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. nimechaguliwa kujinga degrii ya hiyo facult hapo juu., kwa wale mlio soma au wenye uelewa na hiyo course,., mechanical & indstry,. soko la ajira na vitu vingine kuhusiana na hiyo,., plz naombeni msaada wenu,. natanguliza shukrani za dhati.
Wapendwa wanajf,. kwa sasa ni takribani miezi mitatu tangu ninunue hiki ki'laptop changu., tatizo nililonalo hadi sasa sijafanikiwa kuwasha wala kutumia camera ya hii laptop yangu,.,naombeni msaada wenu tafadhali,.,., thank U in advance (LG NOTEBOOK X1300
katika kujaza form ya kuombea mkopo kuna kipengele cha index number nimekosea. nimeandika namba isiyo yangu. Naomba mnisaidie jinsi ya kulirekebisha hili tatizo nililonalo (jinsi ya kuandika namba yangu)
Mimi nipo Kondoa natumia moderm ya zain (USB stick) hatupati mtandao wa internet kama miji mingine. ninapokwenda Dodoma au Arusha napata 3G rangi ya bluu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.