Mimi huamini kwamba Mungu huwa na wale walio katika wema. Katika hili Membe amekuwa na Mungu kwa vile ni dhahiri kwamba hakuhusika wala hakuwahi kuwa na dhamira ya kudhuru yeyote,akiwemo Kibanda ambaye kamwe hajapata kuwa adui yake. Sasa watafute lingine lakini likiwa la staili hii hii basi...
Membe ananikumbusha wimbo wa kisiki cha mpingo wa Mchinga Sound (RIP). Bashe anakuja na panga wakati wenye shoka wameshindwa.
Wakati kwa Bashe na waliomtuma siasa ni mchezo wa kubahatisha, Membe amedhihirisha kwamba siasa ni sayansi inayojengwa kwa mikakati na taaluma siyo kukurupuka na...
Mwenzenu akimaliza bunge anakwenda kuungana na Kamanda Lema kufanya shopping huko nje akidai anafungua matawi wakati hata katavi hajawahi kutembelea. Hivi unapoteza muda nje kwa diaspora ipi? Kwanza wengi ni wahamiaji haramu na ambao hawana voting power, achilia mbali kipato cha kuchangia chama...
Hii mission ni chimba chimba. Nasikia hata wajumbe wenyewe wametoka hapa wakiwa hawaelewani maana hakukuwa na muafaka kuhusiana na madhumuni ya safari. Nia hapa ni kuendeleza ufisadi ule ule wa ku-exhaust mafungu kabla muda haujayoyoma na mwaka mpya wa fedha kuanza. Hivi moral authority ya...
Mnyika anchefua sana. Siasa zake ni za mob justice na kuandamana kudai kupewa huduma ni populist approach ambayo ina lengo la kuficha udhaifu alionao katika kutekeleza ahadi za wapiga kura wake.
Typical of Lowassa hire guns, the boy has no brain at all. His juvenile and reckless moves have set his party into a collision course with the oldest party on the continent. I hope the powers that be will teach him a lesson by striping him of all positions he holds in the party!
Kwa kweli tunashangazwa na hiyo timing. Mtoa mada amesubiri mpaka limejitokeza hilo ndiyo ajifanye kutoboa siri ya ufisadi huu hewa. Nadhani ni vizuri pia atueleze jinsi mama huyu alivyomkatalia ngono fisadi mmoja aliyechochea mgomo huu na sasa anatumia fursa hii kumlipizia kisasi.
Habari hizi siyo ngeni. Hao jamaa walipokuwa wanakutana posho za vikao vyao na gharama nyingine alikuwa analipa Edward Lowassa na mashuhuda na wapambe wake wanajua hilo.
Jamaa anadhani kwamba kwa kufanya hivyo anajitakasa, kumbe anachokifanya ni money laundering, tena kwa kutumia nyumba za ibada. Bila kutubu Mungu hawezi kumsamehe. Maskini urais unamuendesha mbio, anazunguka kama pia. Tayari amesha-book hafla hadi za mwakani aalikwe.
Mimi nilipiga kura yangu Mahiwa. Katika historia yangu ya kupiga kura toka mwaka 1985 na kuchagua wabunge, jimbo la Mtama halijawahi kupata mbunge mwenye rekodi ya utendaji kama Membe. Tumeshuhudia mradi mkubwa wa Maji wa Chiuwe, wenye thamani ya shilingi milioni 800, mradi wa hospitali ya Rondo...
Jamaa sasa hivi kabadilisha mbinu ya kujisogeza kwa watanzania na huu ni ushauri wa Nabii wake. Sasa ni kuendesha harambee kwa kwenda mbele! Nasikia amealikwa kuchangia harambee ya kanisa la RC.
Kwa kweli hili ni la hatari kuliko hata lile la kuhusishwa na Alshabaab kwa sababu huyu na hao waume zake wanaua kizazi chetu. Bora akae huko huko aliko.
Walibya wameingizwa mkenge na kuitupa almasi baada ya kupewa chupa. Dunia yote watu wanahangaika na kupigania hata nusu tu ya walichokuwa wanakipata wao.
Wakadanganywa kwamba hicho walichonacho ni upuuzi tu mbele ya usanii unaoitwa demokrasia, as if ndiyo inayojaza tumbo au kupeleka watoto shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.