Mahakama ya Wilaya Musoma imemuhukumu kwenda jela miaka 60 Nyamasheki Malima mkazi wa Lake side Musoma, kwa kosa la kuwarubuni kwa kuwanunulia maandazi na kuwalazimisha kuvuta bangi na kisha kuwalawiti Wanafunzi wenye miaka 11 na 13.
_
Kabla ya hukumu, Mtuhumiwa alijtetea kuwa yeye hana nguvu za...
Picha ya hapo juu ulikua ni Uzi wangu ambao niliuleta hapa hapa jamii forum mwaka 2017 mwezi wa 11 ,,kipindi ambacho nilikua nimechoka kufanya kazi niliyokuwa naifanya na nikawa naskia skia eti kupitia YOUTUBE unaweza kujiingizia pesa
Kwa bahati mbaya sikuweza kupata jibu lililo jitosheleza...
Alichovaa huyo jamaa Kwenye ulimi kinaitwa Tung Dom sio Condom yenyewe ni mahususi kwa wapenzi kuvaa kipindi wakiwa wanabusiana mdomoni (kiss) ili kuzuia magonjwa.
.
.
Je kikifika Tz utakinunua?
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Luyaya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, Atanasi Kijombo, adhabu ya kufanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka Hospitali ya Wilaya ya Kilwa kwa miezi 12, baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Mkewe Hadija Mambo bila kukusudia...
Siwezi kupiga Sm wala kupokea Sms na hata Tigo Pesa siwezi kutumia ,,nimejalibu kuangalia usajili Wangu hapa,,naambiwa laini Yangu haina usajili
Naombeni mnifahamisha kama na huko kwenu mambo ndio yako hivi
Maana nimeshakua na wasi wasi hapa maana ndio laini yangu ya kuingizia hela
Nilimuacha akiwa mdogo sana na alikuwa anasoma shule ya msingi wakati ule Mimi nilikuwa naondoka mkoani kuja Dar kutafuta Maisha.
Miaka ilienda baadae akakua na akawa anaanza elimu ya sekondari , wakati huo Mimi nilikuwa nimeanza kupata vijihela kidogo nikaona ni bora dogo akasome private ili...
Fareed Kubanda aka Fid Q ameikacha rasmi kambi ya makapera aliyodumu kwa muda mrefu, baada ya kufunga ndoa mwanzoni mwa mwaka 2019 na mchumba wake aliyemtambulisha mwaka jana.
Rapa huyo kutoka Mwanza hakutoa taarifa za awali kabla ya kufunga ndoa hivyo kwa wengi limekuwa tukio la kushtukiza...
Katika pitapita yangu mtandaoni nimegundua washiliki wengi wa bss msimh huu hawako siliasi,na wenda wapo kwaajili ya kuchekesha
Swali la mara kwa mara walilokua wakiulizwa pindi wanahojiwa na media ni kiasi gani cha fedha walichotumia katika mavazi waliyovaa,,jibulake limekua milioni...
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana hii ya binadamu alie ishi miaka 70 bila kula wala kunywa..
BRAHARAD JANI raia wa INDIA yeye aliishi miaka 70 bila kula wala kunywa chochote
Aliamua kuishi porini mda wote na huwa anarudi mara moja tuu kwa mwaka kwaajili ya kusherekea sikukuu ya...
Nilianza Rasmi kujihusisha kimapenzi na wanawake mwaka 2009 kipindi namaliza elimu yangu ya sekondali chaajabu ni kwamba mpaka leo sijawahi kua na mwanamke ambaye anajiweza kiuchumi,,wanawake zangu wote huwa wanakua tegemezi yaani ananitegemea kwa kila kitu..
Huwa nashangaa sana baadhi ya...
Mahala alipo tekewa Mo ni sehem ya kifahari yenye ulinzi mkubwa ,zikiwemo kamera zinazo saidia ulinzi....
Kwanini baada ya kutekwa mo camela zimeanza kuonyesha ukungu...
Sababu za kuonyesha ukungu ni zipi kitaalam?
Kwa anae uza gar aina ya spacial new model... 0719921552
Anipigie ..gar iwe katika hali nzur namba B,C na D Pekee A haitakiwi.. Iwe katika hali nzur
Bajet ya muhusika ni 4:5 milion
NIMEPANDISHA DAU JAMANI SASA NI 5 million spacial new model
Hili swali hua najiuliza kila mwezi pale ninapoombwa pesa ya pedi...najiuliza Kwanini aniombe pesa ya pedi?
Hajui kua ni wajibu wake kila mwezi atumie pedi. hivyo ajiwekee akiba kwaajili ya pedi?
Unakuta Mwanamke ana miaka 22 kwa hesabu ya haraka haraka ameanza kutumia pedi akiwa na miaka...
Location :Ubungo plaza
Bei ya banda ni 500000
Ukiitaji ufanyie kazi hapo hapo lilipo nitakupa miez 4 free
Bei ya laini
Tigo __150000
Voda__150000
Air tel__100000
Sio lazima uchukue vyote unaweza kuchukua ki 1 katika hivyo
Huu ni mwezi wa pili tangu nimefungua biashara yangu ya Tigopesa. Niliamua kusimamia mwenyewe kwa muda wa siku 20 ili kuzijua changamoto ndogo ndogo. Hatimaye nimempata mtu wa kusimamia (kumuajiri) na ameanza rasmi kazi tar 04/05. Nimekuwa na desturi ya kumtembelea majira ya usiku anavyofunga...
Habar zenu wakuu
Naandika huu Uzi nikiwa na masikitiko makubwa sana . .
Nimefanikiwa kua na kibanda changu cha tigopes maeneo flani hapa dar...
Kabla sijamuweka mtu Wa kufanya huduma kwenye ofisi iyo nimeamua nikae mwenyewe angalau wiki 2 ili niusome upepo na changamoto za pale...
Ninacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.