Mkuu bila shaka wewe ni mtu ulie mezeshwa sumu na wajomba na bibi zako kuwa ili ufanikiwe ni lazima usome sana,,wewe endelea kubaki na mitazamo yako...lakini nje ya elimu pia kuna maisha mazuri tuu kwa mtu ambaye hana uwezo wa darasani ni bora aendelee na maisha nje ya elimu......
Boss hayo kweli ni Mapito niliyo pitia
Hakuna sababu ya kufuta nyuzi akati ni ukweli nilipitia huko
Pia sikulazimishi kuniamini,una Uhuru wa kubisha na kuendelea kuwa na mitazamo yako
Nilitapeliwa 200k, nilipo gundua nimetapeliwa nilipatwa na hasira Kali halafu baadae nikaanza kumuonea wivu mtu alie nitapeli ( yaani kaingiza 200k muda mfupi tuu) nikaamua na mimi nitoe bank 100k na nikaitumia kwa kula bata ili ieleweke moja kuwa nimepoteza 300k....
Kuiba vidio ya MTU ni kosa kisheria kwenye YOUTUBE,,,,Mara chache unaweza kuweka vidio ya mtu kama utakuwa umeruhusiwa na mmiliki wa izo vidio..... Lakini kama utakuwa haujaruhusiwa kuchukua vidio hizo na endapo mmiliki halali aka Ku report basi vidio hizo zitaondolewa kwenye Channel yako na pia...
Mahakama ya Wilaya Musoma imemuhukumu kwenda jela miaka 60 Nyamasheki Malima mkazi wa Lake side Musoma, kwa kosa la kuwarubuni kwa kuwanunulia maandazi na kuwalazimisha kuvuta bangi na kisha kuwalawiti Wanafunzi wenye miaka 11 na 13.
_
Kabla ya hukumu, Mtuhumiwa alijtetea kuwa yeye hana nguvu za...
Jitaidi kushea sana kazi zako
Kwenye magroup ya watsup,kwenye fb na kwengineko
Mimi mwanzoni nilikua nashea humu humu jamii forum ila jamaa hawataki wanakupiga ban
Pia jitaidi kuweka Title zitakazo wavutia watu ili watazame vidio zako...
Hapo inategemeana na urefu wa vidio, kwa vidio fupi (chini ya dk10)
Yenye views 1m unaweza kuingiza kuanzia $ 450 mpaka $ 600
Kwa vidio ndefu yenye zaidi ya dk10 utaingiza pesa zaidi ,haiwezi kulingana na vidio ya dk chache
Fikisha subscriber 1000
Pamoja na masaa 4000 ya watazamaji
Hapo YOUTUBE wataikagua youtube channel yako ,ikiwa safi basi watakupitishia matangazo rasmi
Zingatia
Youtube hawataki vidio zenye maudhui ya ngono,hawataki vidio za vitisho vya ukweli pia wanataka vidio zako zizingatie haki za watoto...
Kituochako cha youtube kikiwa tayari kimeruhusiwa kupitisha Ads /kimekuwa monetized / kimeruhusiwa kupitisha matangazo
Basi vidio zako zote utakazokuwa unazipakia YOUTUBE zitakuwa zinapitishiwa matangazo ,hapo watu wakiangalia wengi ndio utapata pesa nyingi na wakiangalia watu wachache basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.