Hellw! Mimini mara yangu ya kwanza kujiunga na JF.
Lakini kuna hoja ambayo ninaileta mbele yenu inayohusiana na hii tiba ya loliondo. Mie binafsi sielewi uhalisia wa hii tiba kwa kuwa watu wengi wanahusisha tiba hii na uganga wa kienyeji na haitoki kwa Mungu.
Kama ilivyo kwa Mungu huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.