Ni kweli kabisa ndugu, yaani ushindi wa simba na yanga naufananisha kabisa na ushindi wa CCM, mwingi unapatikana kwa hila kuliko uwezo. Siku timu za Simba na Yanga zinaingia kwenye ushindani wa kweli ndio soka letu litaboreka.
Timu ipate ushindi wa hujuma kisha utashangilia? Ila kwakuwa ww ni mwanaccm, sishangai kutaka ushindi wa hujuma maana hiyo iko kwenye damu.
Karia hawezi kukemewa na wanasiasa hasa wa CCM, kwani ubaguzi wake ndio ubaguzi wafanyao ccm.
Nipe tofauti ya Mkoloni mweupe na huyu mkoloni mweusi, au kwakuwa ww uko kwenye mlo? Kwa taarifa yako hata wakati wa mkoloni mweupe kuna watu walikuwa kwenye mlo kama ww, na waliona mkoloni yuko sahihi.
Sina shaka na wizi wa kura uliofanyika. Kwa taarifa yako hata wakoloni walijenga reli na tuliona ni zetu. Wewe na chawa wenzako ndio unaona mnashirikishwa, na sio kila mtu.
Slave mentality kwani wakenya ni wazungu? Huo ndio ukweli kuwa wako vizuri Kuliko sisi tunaoburuzwa na chama kichovu. Hivyo jenga tabia ya kuvumilia ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.