Kumbuka Makonda alimtabiria mama kuwa makamu wa Rais na ikatokea na alishawai kusema yeye kama kijana anampenda sana mama....Hapa mimi naona mama atalipa fadhila tu.,makonda atapewa kazi.
naomba uelewe mm sijavunja ndoa ya watu.na matatzo walionayo kwenye ndoa yao na mmewe mm hayaniusu.mm nampa faraja ya kutosha.na nipo upande wake na si vinginevyo
nilishaoa na niliachana na mke wangu.Ni muda mrefu siishi nae na haitaniuma hata kidogo kama nikija kujua ana danga.Huyu nilyempata naona kitachoweza kututenganisha ni kifo tu peke yake. asanteni kwa ushauri wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.