Naunga mkono hoja:
kwanza kabisa kwa kuwashukuru wapinzani kwa kutupigania na pongezi nyingi sana kwa ccm kwa ushindi usio wa kawaida.
Ingependeza awamu wapinzan wajikite na mishe zao kwenye na kujenga vyama vyao watuache na wateule tuijenge tanzania iwe ulaya.
Naamin kabisa itafika muda hata...
Duh! Kwa akili kama hii basi tuna safari ndefu sana kama nchi. Mtu anapigaje kura kama hayupo registered??? Hivyo vutambulisho vingine vnatumika endapo mtu kapoteza ID ya kura. Naamin hakuna mtu mwenye akili timamu anayeshabikia ccm
Mi nadhani tunahitaji elimu zaidi ya tunavyohitaji uongozi. Yaani kwa mchakato mzima huu mtu mwenye akili timamu lazima aone aibu kupongeza NEC kwa uchaguz wa huru na haki. Anyway, naona njaa ni tatzo pia😚
Kabisa....kinachofurahisha ni kwamba kama namba tunaisoma wote😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.