Search results

  1. M

    Tanzania ni nchi huru, a Sovereign State, Mahakama zetu ni huru? Hizi ndizo hukumu zetu za haki, who the hell is Marekani kutuingilia? Je, tukubali?

    Pascal Mayalla, Uwezo wako wa kuchambua mambo na kujenga hoja umefikia kikomo. Nafikiri umri umeanza kukuathiri au utakuwa na tatizo lolote la kisaikosojia.
  2. M

    Kama Jeshi la Polisi linafanya juhudi kubwa kumtafuta mtu anayedaiwa kumpa sumu Mangula, ni kwanini halifanyi juhudi hizo kwa waliompiga risasi Lissu?

    Ukiona wametangaza, ujue wanataka kumbambikia mtu kesi ya kumpa Mangula sumu. Subiri muda si mrefu utasikia mtu katupiwa huo mzigo.
  3. M

    Rais Magufuli anasikiliza, anajali anatekeleza! Stendi ya Mwenge kurudishwa, kilikuwa kilio cha wengi

    Kila kitu kinachofanywa na hata halmashauri lazima kusifia Magufuli. Hivi ni vitu vidogo sana vya kumhusisha Raisi wa nchi. Upumbavu wa kusifia umezidi sana kiasi kwamba mchango na ubunifu wa taasisi mbalimbali hauthaminiki na kuonekana.
  4. M

    Inasikitisha, Nimelia sana: Hii picha ya Dr Bashiru ni usaliti mkubwa, sikutarajia

    nzagambadume, Uko kwenye vita ya uchumi ukipigana na mataifa yapi? Hayo mambo unayoyaona ya barabara mbovu yamesabibishwa na wizi wa hao viongozi wa CCM. Tangu uhuru nchi iko mikononi mwa CCM na leo unadanganywa kwamba nchi yetu imeibiwa na wageni. Jaribu basi kutumia akili yako ya kuzaliwa...
  5. M

    How CCM underdeveloped Tanzania

    Rais anaposema nchi yetu imeibiwa sana, nani wezi wa raslimali zetu kama siyo CCM? Tangu uhuru CCM ndiyo imekuwa madarakani na yeye mwenyewe amekuwa kiongozi katika kundi la wezi ambazo ni CCM. Umaskini wa Tanzania hauwezi kutenganishwa na CCM.
  6. M

    Mlionywa lakini hamkusikia, mtavunjika shingo

    Kati ya upinzani na hao wazee nani amepoteza? Lowasa kapoteza sana vitu vingi ikiwemo heshima katika jamii na nguvu ndani na nje ya chama vimeyeyuka kabisa. Sumaye naye vile vile.
  7. M

    Ufunguzi wa choo cha msaada: Mawaziri mnakosa la kufanya?

    Ni upuuzi huo, tunashundwa kujenga vyoo kwa fedha zetu, lakini fedha za kuharibu kwa kuitisha chaguzi kwa watu waliokuwa wanahama vyama zipo. Nafikiri nchi ina viongozi wa ovyo wenye akili za matope.
  8. M

    Picha: Umaskini wa fikra, Billion 13 ukumbi mzuri ofisi za hovyo

    Jamani CCM tuweni wa kweli, hayo majengo ya ofisi kwenye pichw hata chama chetu tunayo huko vijijini. Najua wengi mmezaliwa na kukulia mjini, hali halisi ya mazingira na makazi ya vijijini hamuifahamu vizuri.
  9. M

    Uchaguzi ni wa nini basi?

    Mzee Mwanakijiji uko sahihi kabisa kwa asilimia mia moja.
  10. M

    Wale mnaojiita viongozi vijana jifunzeni kutoka kwa Kiongozi Kijana Waziri Mkuu wa Ethiopia

    Ni kiongozi kijana kuwahi kuwa mkuu wa serikali katika bara la Afrika lakini mambo aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya ni makubwa kwa nchi yake na majirani. Ni mwaka jana tu amekuwa Waziri Mkuu lakini mwaka huu amekuwa mshindi wa Noble Prize!! Ni kiongozi kijana mnyenyekevu na anayethamini...
  11. M

    Tunaona kama masihara lakini "MKULIMA" anachomoa betri ya amani ya nchi

    Unaongea hayo kwa sababu ya amani tuliyonayo. Usilinganishe Tanzania na hayo mataifa. Misri, Sudan, Libya, jirani zetu DRC Congo na Burundi, Afrika ya Kati, unajua kilichopo. Kama huwezi kujifunza kutoka nchi hizi basi utakuwa na tatizo. Pole sana
  12. M

    Tunaona kama masihara lakini "MKULIMA" anachomoa betri ya amani ya nchi

    Mtu anayejiita "mkulima" (aka kamishna wa TRA aliyetumbuliwa) ni sumu hatari na msaliti wa amani ya nchi. Siyo siri, lakini moja ya mambo ambayo yameleta utulivu na amani katika nchi yetu ni suala la kupeana kijiti cha uongozi. Nchi nyingi zenye machafuko, mapinduzi ya kijeshi duniani ni zile...
  13. M

    Tunalo tatizo kubwa la kisiasa kuliko tunavyoweza kufikiri 'Ijapokuwa halisemwi popote'

    Chama tawala nacho ni mwenyekiti, ukikosana naye utapata tabu sana kwenye maisha yako ya kisiasa kama wewe ni mwanasiasa. Chama tawala ingekuwa taasisi imara sana kama wangetenganisha nafasi ya mwenyekiti na urais.
  14. M

    Rais Magufuli ni mzalendo namba moja Tanzania

    Kuna una QUOTE="ngwanduu, post: 32531032, member: 508036"] Rais Magufuli ni mzalendo namba mija Tanzania ,Tunaona jinsi anavyohangaika kuipigania nchi yake kwa ajili ya Watanzania Tunashughudia na tunajioneo mengi unayoyafanya ni mambo makubwa sana ambayo yanahitaji ujari mkubwa sana. Kipindi...
  15. M

    Kifo cha Rais wa kwanza wa Zimbabwe Robert Mugabe ni pigo kwa Afrika

    Kama wananchi wake walimkataa alikuwa na mchango upi kwa kipindi hiki?
  16. M

    Benard Membe ahudhuria harambee Saint John Bosco Kibaha

    Membe siku zote amekuwa kimya na wala hajawahi kufanya mambo kama ya Lowassa.Kila neno analoongea mnatoa tafsiri ya kupiga kampeni. Hata miondoko yake, mnasema anatembea kama mtu anayetaka urais!! Yawezekana hata urais wenyewe hautaki.
  17. M

    Kwanini yasemwayo mitandaoni na wachache ndio iwe msimamo wa watanzania wote?

    Kwa hiyo wewe unafurahia wananchi wa mikoani kutokujua nini kinaendelea nchini. Yaani wewe mpuuzi kabisa
  18. M

    Hali ya utaifa inatisha

    Yaani wewe unaona suala la ndege ndilo la kitaifa zaidi? Watu walibomolewa nyumba kimara, Akwilina aliuwawa, Azory alipotea na Lissu kupigwa risasi eneo la bunge. Haya yote watawala wetu na watu wnegine hawakuyaona ya kitaifa. Leo ndiyo mnataka suala la kushikiliwa ndege tuungane kitaifa...
  19. M

    Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) yakiri ajira sekta binafsi zimepungua kwa 42.6%, serikalini zimepungua kwa 78.1% ndani ya mwaka mmoja

    Hii ripoti ni muhimu sana. Lakini ukiangalia kwa undani kuna mambo kadhaa ambayo, nafikiri kwa makusudi NBS wameamua kuyaficha. Katika kipengele namba 5 kinachohusu elimu, kuna vitu wanaficha sijui wanamfichia nani? Kwa mfano, kwa upande wa elimu ya msingi na sekondari kidato cha 1 hadi 4, na 5...
Back
Top Bottom