Mkuu tatizo ninalo liona ni je yanga akiwa bingwa wa FA atakubali kwenda shirikisho halafu club bingwa apewe aliyeshika nafasi ya 3 kwenye ligi kuu.....
Habari zenu wapenda soka wote popote pale mlipo na wapenda michezo mingine pia wasalaam, wakuu kumekuwa na swali fikirishi ambalo linanisumbua ubongo hivi mwaka huu endapo simba atatwaa ubingwa wa ligi kuu na yanga akakamata nafasi ya 2 ina maana wote watakuwa na vigezo vya kwenda club bingwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.