Vijana siku hizi mmna mambo ya kimama kabisa ndo maana wengi wenu mnawaza Tigo tu!! Wengi wenu ni mashoga yoote hayo yanatokana na Umama wenu...
Mnaoa hamjui maana ya ndoa...Ukioa umeoa heshimu ndoa...ukiwa na kimada basi hiyo ni kazi yako kukiweka sawa. Sio mnaleta dharaaau
Siku hizi hata...
Kwanza sio Series ni Sequel sawa?
Pili Movie imetoka wiki ilopita na kwa Mahafhi yake usitegemee kupata iliosafi kwenye link zozotee sahau ime muda mwezi hadi miezi 2 ama 3 ndo utaiona safi. F8 yenyewe hakuna safi zote chafu. May be inaonekana huna uzoefu wa kudownload!!
Kuna watu tunachangia bila hata kuwa na facts...Lazima ujue nn unasema jamani...Fanya study ya kutosha kisha useme sio tu unakurupuka "Hakuna kama Gaucho" ....Umefanya study ya maana mpaka useme hivyo au unabwatuka tu?? Unapotaka kuyoa maoni yako fikiri kwanza, kuwa na facts kibao za kutetea...
Ni series ya kijinga sana kwa kweli, binafsi sijaipenda, nilikua na Mategemeo makubwa sana kutoka kwa Marvel ila naona kama wameshindwa kudeliver what is expected from them kutokana na kufaulu kwao upande wa Movies.
Iron Fist, imekumbwa na critics nyingi sana Rotten Tomatoes imepewa 17% sasa...
Wadau nimesikia na kuona ving'amuzi vya namna hii ambavyo kwa habari ninazozisikia ni kwamba ni king'amuzi cha nchi jirani kama Kongo, rwanda, burundi na kwingineko ila kuna baadhi yapa bongo wanavyo. Vina channel za CANAL Sports ambazo zinaonyesha mpira na wa ufaransa na uingereza na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.