Tatizo siyo safari kinachotakiwa ni kuoanisha gharama zinazotumika kufanya safari hizo na hali ya uchumi wa nchi . Takwimu zinaonyesha mzee wa magogoni amesafiri safari nyingi sana kweanda maeneo mbalimbali nje ya nchi kwa shughuli za kakazi na mausino . lakini mpaka sasa hakuna chochote...
Ni vizuri uelewe kuwa kilimo kwanza ni kauli mbiu ya serikali yenye lengo la kuboresha kilimo nchini na kuwaweesha wakulima kupata tija kupitia mazao wanayozalisha '' hivyo walengwa ni wananchi wote kwa ujumla kwa kuzingatia kuwa uchumi wa tanzania unategemea kilimo'' kimsingi haijalishi ni...
Naomba uondoe kabisa mawazo mgando uliyonayo kuhusu ndoa' na elewa wazi huelewi chochotekatika hili , taasisi ya ndoa ni kubwa sana na ndio inyotoa dira ya muelekeo wa maisha ya mwanadamu , kama mtu ana tabia mbaya basi kupitia taasisi hii kila kitu kitakuwa wazi na atakuwa na fursa ya...
Unapashwa kuwa na uhakika kwa hayo maneno unayosema , kwani suala la kuoa sio jambo la mchezo ,elewa kua hata huyo binti anataka kukupima kama umemaanisha au la'' japokuwa anakupenda , lakini nakushauri kama umedhamilia kuoa kweli fuata taratibu zinazotakiwa ,ili ujenge heshima kwake na aelewe...
Naomba uelewe kuwa huyo rafiki wa mumeo ni mwanaume kama wanaume wengine , je katika maisha yako ya ndoa hujawahi kutongozwa na
mwanaume yeyote? kama jibu ni ndio je ulitumia njia gani kumuepuka? naomba utumie njia ya kukutaa na kuonyesha msimamo wako kama
kama mke wa mtu kuliko kijiweka...
pole sana dada yangu kwani wanaume hawana fadhila kabisa pamoja na kumzalia watoto wawili bado hatosheki ; kamwe usijizalilishe mtumaini mungu utaona mafanikio yake , tuone hiyo tigo itampa faida gani.
Piiiii piiiii nipisheni jamani nimpe zawadi huyo DaMie mimi upekuzi wangu haukujua kuwa hili toto la Kichaga ndiyo limezaliwa jana! DaMie happy birthday hebu pokea hii zawadi
Napenda kutoa shukrani za kipekee kwa member wote mlionikaribisha na wale ambao hawakuiona thread lakini walikuwa na nia hiyo. Tupo pamoja tutazidi kukutana majukwaani. Mwisho namshukuru PakaJimmy kwa kunipa stuff ya kutosha kuhusu sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya JF niko njiani kuwa...
Kwani jamani Loliondo mmelazimishwa kwenda? Si nyie wenyewe ndiyo magonjwa yenu ndiyo yanayowapeleka kwake, yeye ameshasema hakubandika bango popote pale ila ni uponyaji wake! Hakuna sababu ya kumpima akili, ila kama utaki usiende.
Wana JF wote ninayofuraha kubwa sana leo hii kuachana na u guests wa JF na kuwa member kamili. Ni matumaini yangu nitajifunza mengi na kutoa changamoto nyingi kwa yale ninayo ya fahamu.
Pia msisite kunijuza kwa yale nitayoingia chaka kutokana na uchanga wangu. Ni imani yangu tupo pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.