Walioanzisha bar (canteen) makambini walikua na akili Sana maana watu wa kabila moja huzungumza lugha moja sasa wao wanajichanganya lazima lugha ziwe tofauti
Note 9 ina version android 10,simu ipo vizuri sana ,speed ya kutosha,storage ya kutosha,mimi sio mpenzi wa picha lakini naona pia camera ni nzuri ,chasing kioo ni very delicate hakihitaji usumbufu ,kama vile kuweka simu na funguo kwenye mfuko au coins au kubinyi vinginevyo note 9 is the best...
Jipatie simu Samsung note 9 kwa bei ya kutupa laki 350,000
Storage GB 128
Ram gb 6
Haina cracks.
Used but in good conditions
Free charger
Free cover
Free protector
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.