'is it worth?'., Kwangu ni NO
Kama wao wakikopesha wanachukua mpaka 18% monthly, plus charge nyingine za kuprocess mkopo na za kibenki...
Nadhani hii kitu ibaki tu Kama unatakata kupoza kichwa moto Kama walimu wastaafu wenye watoto wasumbufu
Katiba ya chadema inakataa wanachama kukishtaki chama mahakamani bali kwenye kamati zao za kichama, kwa kufanya hivyo adhabu yake ni kufukuzwa uanachama, so watakuwa wamefukuzwa teenaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.