Nimefurahi ulivyo jibu mheshimiwa lakini hali hii imekithiri na watu wanumia, shughuli za kiuchumi zinakwama kama hali itaendelea maana yake ni kwamba tutarudi nyuma kimaendeleo baada ya kusonga mbele. Mheshimiwa Mnyika serikali imeruhusu sekta binafsi kuinvest kwenye umeme, ombi langu kwakua...
ni thahiri kua binadamu wa kawaida atafikiri km ww mi niongoze jambo moja biblia inasema ukiuwa kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga hiyvo kuua kwa kusudia,kwa nia ovu(malice aforethought) ni sawa mtu kupewa athabu ya kifo cha msingi maadili ya sheria yazingatiwe ili kuwe na justice.
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.