Hilo bomu analolitengeneza atajuta
Kuvaa hizo jezi haitozuia Simba /Yanga kushinda,kufungwa au kusuluhu
Mchezo ni uwanjani, hizo jezi hazina cha kufanya na hata hiyo solidarity forever haipo basi tu
Kwa hiyo tuanze kukagua shabiki mmoja mmoja passport, like serious?
Waziri katoa boko, kama...
Acha kukariri maisha, unadhani watu wote wako Tanzania au saa sita wanakuwa wamelala ? Kama ni mashindano ungeanzisha wewe
Sit back and Relax acha wivu wa KIKE/Makasiriko kwa mwanaume mwenzako
Mwamuzi Ramadhan Kayoko ametajwa kuwa Mwamuzi wa Kati atakayechezesha mchezo namba 64 utakaoyakutanisha manguli ya soka la Tanzania Simba SC na Young Africans.
Taarifa iliyotolewa katika mitandao ya kijamii ya Bodi ya Ligi ‘TPLB’ imeonyesha Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono(Tanga), Janeth...
Hospitali ya MLOGANZILA itasimama yenyewe na kutoka chini ya usimamizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kuanzia Julai 2022. Hayo yamesemwa leo 18/3/2022 na Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu alipoitembelea Hospitali hiyo na kusema kuwa serikali imejiridhisha na jinsi hospitali hiyo inavyojiendesha...
Sijaona logic ya iphone kuto include earphone na charger kwa kisingizio cha kutunza mazingira [emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Habari zenu wadau, wakubwa kwa wadogo... Natumai mko poa na mnaoumwa Mungu awajalie unafuu ikawe heri
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada
Nina swali ambalo nahitaji majibu na ufafanuzi kutoka kwa watoto wa kike sanasana (wajuba wa kiume sio mbaya pia).
Hii ishu imenitokea mimi kabisa...
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho
Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara...
@Shaffih Dauda anasema....Mechi kadhaa za mwisho za TP Mazembe ndani ya uwanja wao wa Nyumbani.
::
Mazembe 2 - 0 CS Costantine
Mazembe 8 - 0 Club Africain
Mazembe 2 - 0 Ismaily
Mazembe 1 - 0 Zesco United
Mazembe 1 - 1 De Agosto
Mazembe 1 - 1 Difaa El Jadida
Mazembe 1 - 0 MC Alger
Mazembe 4 - 1...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekuja na kampeni mpya ya kuwasaidia wanawake wajane itakayofanyika Mlimani City Dar es salaam...
Nanukuu kutoka kwenye page yake ya instagram @baba_keagan
*IT’S FRIDAAAAY...!* Wote kwa nafasi zetu tunafurahia uelekeo wa mwisho wa juma kwa wengine ukujipanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.