Mimi ni kijana wa miaka 28 mkazi wa Singida japo kwa sasa nipo Iringa.
Mwaka 2018 nilikuwa Mbeya kimasomo ni mwanafunzi wa mambo ya afya katika kada ya afya. Tatizo linalonisumbua ni kuwa mwili huwa unapata msisimko kama aleji, allergy pindi nikipata joto au msisimko wa uoga.
Hali hii ilianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.