Ulipopendekezwa kuwa Waziri Mkuu, Watanzania walio wengi hawakutegemea. Isitoshe siku Mh. Rais analitaja jina lako Bungeni, hata wewe hukutarajia. Ulighubikwa kwa chozi la furaha huku moyoni ukitafakari utaitendea nini Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nafasi uliyoaminiwa.
Nikupongeze kwa...
Ni kawaida mtu anayeomba kuwa Mwakilishi wa watu hutumia lugha ya ushawishi kwa lengo la kutafuta imani toka kwa watu anaotaka kuwaongoza. Huu ndio uhalisia kwa mujibu wa sheria na taratibu zetu za nchi.
Cha kushangaza, wagombea walio wengi wamekuwa wakiwashawishi wapiga kura wao kuamini hata...
Elimu ni ujuzi, maarifa na stadi azipatazo mtu katika mazingira yanayomzunguka ama maisha yake ya kila siku, zinazomwezesha kufanikisha kwa ufanisi na weledi utekelezaji wa majukumu yake kwa faida yake mwenyewe na jamii kwa ujumla.
Chimbuko la mfumo wetu wa Elimu ni kipindi cha mkoloni...
Kuwa mfuasi wa chama fulani ni uamuzi aufikiao mtu baada ya tafakuri ya kina na upembuzi yakinifu juu ya faida na hasara atakazozipata ama kukabiliana nazo. Yumkini, mfuasi huwa ni mtu aliye tayari kupambana na kukabiliana na changamoto zozote zile zinazoweza kujiitokeza dhidi ya maamuzi yake...
Ni wazi dunia nzima inazizima kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona (COVID -19) tangu kubainika kwake hapo disemba 2019. Ni gonjwa ambalo mpaka sasa limegharimu maisha ya maelfu ya wanadamu huku likiacha athari za kijamii na kiuchumi zisizoweza kuzibika hata kidogo miongoni mwa wanajamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.