Search results

  1. Baraka Sabi

    Tumepoteana. Tujirekebishe

    Wajumbe si watu!
  2. Baraka Sabi

    Hongera! Waziri Mkuu (Kassim Majaliwa); Umekuwa Kielelezo cha Kuigwa

    Ulipopendekezwa kuwa Waziri Mkuu, Watanzania walio wengi hawakutegemea. Isitoshe siku Mh. Rais analitaja jina lako Bungeni, hata wewe hukutarajia. Ulighubikwa kwa chozi la furaha huku moyoni ukitafakari utaitendea nini Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nafasi uliyoaminiwa. Nikupongeze kwa...
  3. Baraka Sabi

    Kitendo cha kuita nchi majirani zako kuwa ni "vinchi" ni uungwana?!

    Tupia tarehe ya kuandamana ili tudai haki yetu Kamanda.
  4. Baraka Sabi

    Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu October 2020, Mungu atuongoze kuwapata Wawakilishi wenye moyo

    Ni kawaida mtu anayeomba kuwa Mwakilishi wa watu hutumia lugha ya ushawishi kwa lengo la kutafuta imani toka kwa watu anaotaka kuwaongoza. Huu ndio uhalisia kwa mujibu wa sheria na taratibu zetu za nchi. Cha kushangaza, wagombea walio wengi wamekuwa wakiwashawishi wapiga kura wao kuamini hata...
  5. Baraka Sabi

    Lijualikali: Mimi ndio nimeitoa CHADEMA mbali na kuifanya ijulikane Kilombero, watu walikuwa hawaijui

    Anatenda analolijua bila kujua analolijua sio linalotakiwa kujulikana na wanayoyajua wajuzi. Alikohamia wachunge sana. Siku akihama atamwaga mboga tena. IQ signal iko 2G. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Baraka Sabi

    Maisha Bora kwa kila Mtanzania: Je, Mfumo wa Elimu una Mchango gani?

    Elimu ni ujuzi, maarifa na stadi azipatazo mtu katika mazingira yanayomzunguka ama maisha yake ya kila siku, zinazomwezesha kufanikisha kwa ufanisi na weledi utekelezaji wa majukumu yake kwa faida yake mwenyewe na jamii kwa ujumla. Chimbuko la mfumo wetu wa Elimu ni kipindi cha mkoloni...
  7. Baraka Sabi

    Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

    Anavuna matunda ya kazi yake. Si mtoto mdogo asijue kifuatacho baada ya kazi aliyoiandaa na kuirusha mitandaoni. Anyway avumilie kwa yote japo atapata tabu Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Baraka Sabi

    Mnaohamahama vyama vya siasa: Je mnajua dhambi mnayoitenda na madhara yake?

    Kuwa mfuasi wa chama fulani ni uamuzi aufikiao mtu baada ya tafakuri ya kina na upembuzi yakinifu juu ya faida na hasara atakazozipata ama kukabiliana nazo. Yumkini, mfuasi huwa ni mtu aliye tayari kupambana na kukabiliana na changamoto zozote zile zinazoweza kujiitokeza dhidi ya maamuzi yake...
  9. Baraka Sabi

    Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

    Viva Africa. Japo hawataki kutukubali. Tuzidi kuwa vinara katika nyanja nyingine pia. I proud of Africa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Baraka Sabi

    Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Tabaka la watu maskini tena wa fikra hutawaliwa na wivu ama kijicho. Wao ukesha wakiwaombea mabaya ama mikosi binadamu wenzao. Bahati mbaya sana maombi yao Mungu huyageuza na kuwa baraka kwa walengwa. Huendelea na mfumo huu wa maisha mpaka wanazeeka wakiwa maskini. Hii ni dalili mojawapo ya...
  11. Baraka Sabi

    Hongera Waziri Ummy Mwalimu kwa mkakati mpya wa kupambana na COVID19

    Naipongeza Sekta ya Afya nchini kwa jitihada kuntu inazozichukua katika kukabiliana na mlipuko wa COVID-19 tangu kuingia kwake hapa nchini. Ni wazi wataalam wa Afya wameonyesha "Commitment" itokayo mioyoni mwao huku wakiitendea haki mikataba yao ya ajira katika kipindi hiki kigumu. Kutokana na...
  12. Baraka Sabi

    Je, nini maana ya 'Impeachment'?

    Ili iweje? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Baraka Sabi

    Jinsi Media za kimataifa zinavyotazama mapambano ya Tanzania dhidi ya Corona

    One of the most nosense articles never ever! They could have told us where the virus was derived from as well as the purpose this massacre killing agent. Tell them to stop. Let them discuss their issues and give us a break. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Baraka Sabi

    COVID19 na safari ya wana wa Israel

    Ni wazi dunia nzima inazizima kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona (COVID -19) tangu kubainika kwake hapo disemba 2019. Ni gonjwa ambalo mpaka sasa limegharimu maisha ya maelfu ya wanadamu huku likiacha athari za kijamii na kiuchumi zisizoweza kuzibika hata kidogo miongoni mwa wanajamii...
  15. Baraka Sabi

    Unaona nini maishani mwako?

    Big up Brother! Optimistic statements like these, might advance the country to the middle economy country by 2025. Looking to hearing from you once a gain. Enjoy your Easter. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom