Kwa yoyote anaye husika;
Hii ni kero ninayoileta kwako mfumo wa swali, nauliza hivi makusanyo ya shilingi za kitanzania mia mbili (200/-) kwa kichwa kama kiingilio pale Ubungo stand ya kwenda mikoani ni kwa maslahi ya nani?
Nauliza hivi kwa kuzingatia ukweli kuwa ndani ya stand hakuna huduma...
Mods; habari zenu..:peep:, nadhani huu uzi ulitakiwa uwe umezuiliwa :ban: toka awali kwakuwa na muelekeo/ muonekano wa kuchochea ushoga :A S embarassed:
huyo dada sio yeye ni roho ya ushetani ndani yake inayo sababisha yote hayo; akimtafuta BWANA YESU yote yatabaki kuwa shuhuda na ukitaka kulifahamu hili yaone maisha ya mwanaume aliye tembea na huyu dada kabla na baada ya kutembea naye ikibidi muulize ndoto anazoota, hela kama inakaa kama ilivyo...
mdogo wangu kuwa makini na viongozi wa ki'imani...itakughalimu; kama kitu unashaka nacho mara... nyingi huwa wanaweka namba zao za simu mpigie moja kwa moja muwasiliane nae na utapata jibu la uhakika kuliko kumuanika humu huwezi jua mawazo ya wengine yatakuwaje pengine anaweza kukashfiwa kitu...
naamini panakuwa na maafikiano kabla hujapewa kusaini mkataba wa ajira...na hiyo laki nane ni kwa watu ya level ya chini sana na wasio na ujuzi wowote
sijui kwenye kampuni yako watumishi wasio na ujuzi mnawalipaje
jamani jamani watanzania tuache kuzungumza mambo ambayo hhujayafanyia utafiti wa kutosha...nijuavyo mimi ABGM wao kazi ni lazima watangaze na ikitangazwa waombaji wa online wanatakiwa watumie barrick.taleo.net kutuma maombi yao na si vinginevyo
bofya link hii Emmanuel TV - A Christian Television Network by T.B. Joshua kila jumapili, jumamosi na alhamisi wanarusha matangazo ya moja kwa moja siku nyingine kuna vipindi vya kawaida pamoja na rebroadicast...
Emmanuel..!
Thank You, JESUS
Kaka nna uhakika na nilicho kushauri na ukitaka ushuhuda zaidi Emmanuel TV - A Christian Television Network by T.B. Joshua ingia hapo ujionee na BWANA akubariki...na labda nikuambie sio kufunikiwa kupata uzazi tu bali hata atakaye zaliwa atakuwa ni mbarikiwa
be Blessed !
Kama una uwezo nenda Synagogue Church of all Nations - Nigeria, jambo lako litabaki kuwa ni testimony...au tafuta mtu aliye'enda huko akupe anoiting water au kama kuna ambaye bado yupo huko akuletee.
utafunguliwa tu...Amini.
Tabia hii naweza kuiita ni tabia ya kitanzania na ni ya watanzania, Watanzania kufanya kazi bila kuhujumu bado hawajaifanya na wengi hawataipenda, wakihujumu wakamaliza au mianya yao ya kuhujumu ikitaka kufikia tamati wanaanza kuonesha upinzani na kujitakasa kama vile wao ni watakatifu na ndio...
nguvu kazi [mwenge-stesheni] , skola stika[mwenge-stesheni] , riziki kwa mungu"tim yulee!"/riziki kwa mungu"golo yulee!" golo bus service"tim yulee!"[mwenge-stesheni;chang'ombe via maduka mawili-posta] , mv mapenzi[chang'ombe posta] , kitmeer[temeke chang'ombe n.k] , dau la mnyonge , kuti kavu ...
kama ni mumeo na mmeishi si pungufu ya miaka minne ukiondoka imekula kwako , huo ni mtego wa adui(shetani) ; maandiko yanasema
". . . watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ".
nasema hivi kwanza adui hapendi familia zenye utulivu na amani kwani yeye amekuja kuharibu , pili mafanikio yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.