Kwa kusema ukweli si kila kitu kitakacho shabikiwa na vijana kitakuwa na faida kwa watu wa lika zote kwa sababu ujana mara nyingi huwa ni kama ulevi
fulani na mtu yoyote akikwambia usifanye hivi au vile basi unamuona kuwa aningilia uhuru wako mfano biG brother na mengineyo mengi kwa kifupi...
Ebwana hiyo ni kweli kama huku NEW WELL Bw.Mkuu wa chika yaani Tunashida ya maji lakini huyo bwana amekalia kuwatisha wafanyakazi wa halimashuri fulani tu.Na hii ni kwa sababu ubunge wenyewe aliupata KIMTINDO.
Huko n kukosa HAYA mtu yeyote mwenye haya hawezi kufanya hivyo.Na hii si ajabu akawa na tabia nyingine mbaya zaidi kutokana na kukosa
HAYA msinulize ipi! anaweza hata akawa malaya, kutoheshimu watu wengine kwa sababu mwenyewe HAJIHESHIMU.Mtu kama huyu ni mbaya sana ktk jamii sababu kutokana...
Katibu Ndio mzaidizi mkuu wa waziri kama yeye kafanya kosa hili na hatua aliyo chukuliwa ndio hii, Je? waziri anasubiri nn.Nataraji kesho kusikia waziri yuko Segerea pamoja na katibu wake.
Inauma sana kuona kila uchao watu wanalamba mali zetu Halafu bwana mkubwa anatuimbia nyimbo za kitoto.Kwa kweli kujiuzulu kwake litakuwa ni jambo la heshima sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.