Nijitetetee kwa kitu gani Hornest, nimeusoma uzi huu na nashangaa ghafla from Boom nimekuwa milionea. nitanunua hata flat ya inchi 20 sasa japo na baiskeli ya kuendea gheto
Umenena vyema sana, tena ukute wanaokuinterview ni wabongo wanawapa majibu yote watu wao. Yaaani ile interview pannel wanashare maswali miongoni mwao. Hili limetokea nikiwa kwenye pannel moja na lilinishangaza sana.
Umeandika vyema kabisa ila access ya strong room na ATM ni watu wawili. Hii ni kupunguza uwezekano wa kutokea wizi kirahisi, so mtu mmoja hawezi fungua na kuingia kwa vault (labda huyo mwenzake amuamini na kumpa access) mahali ilipo strong room sio siri kwa watumishi wa benki kwani bila access...
Mbona humu JF kuna bahadhi ya members mnajifanya wajuaji hata kwa vitu msivyovijua, kwa nini unandika kitu usicho na hakika nacho? wakati mwingine muwe mnasoma tu na kujifunza kwa wanaojua. Ulichoandika si sahihi hata kidogo. Yaani unasema polisi ni raia? kweli kabisa ukiwa na akili zako timamu/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.