Wapendwa kama ambavyo nimeandika hapo, naomba msaada wa kitaalamu jinsi ya kuendesha biashara hii.
Sijafungua ila nimesha fanya maandalizi ya chumba pamoja na vifaa baadhi, ishu kubwa itakuwa kwenye ku-manage pesa na wafanyakazi nk.
Wakuu salam,
Samahani hivi inawezekana kuwa VPN bila kuwa na app? Maana kwenye simu kuna ile sehemu ya ku add vpn yaani ile alama ya +, tafadhali naomba mwongozo.
Asanteni sana
Wadau wa hizi kitu kama nilivyo sema nashindwa kusajili kwasababu ile app niki log in inakubali ila siwezi kufanya chochote kwasababu nikigusa nianze kazi inaganda tu hapo mpaka italeta kaujumbe hako ka close or wait.
Naombeni msaada nifanyaje wakuu
Wapendwa wafugaji kanda ya nyanda za juu kusini, tumewaletea mashine za kuangulia mayai ya ndege aina zote, mashine za kisasa kabisa na zenye ufanisi mkubwa (full automatic) AC/DC (umeme wa kawaida na umeme wa battery) bei poa kabisa kabisa. Tuwasiliane Pm
Waungwana naombeni msaada tafadha sina utaalama sana, jamaangu ameniazima mashine n tayari nimeshaweka mayai ila naombeni msaada kwe hayo mawili tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee kamwene, jamani mwennu nina ushamba wa matumizi ya hizi mashine za kuangulia mayai, lakini napenda kweli kufuga kuku na mpaka sasa ninao kama hamsini, sasa nikapenda nipige hatua kidogo kwa kupata mashine, kuna jamaangu ameniazima na bahati mabaya nae hajui matumizi yake, aliyekuwa...
Wakuu hivi inawezekana kufuta sms za wasap ambazo mtu au watu wametuma, kwenye group na maadmin mkaona hazina maadili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yangu ni kila nikifanya tendo korodani moja ya kushoto inauma sana hasa baada ya kumaliza tendo yaani nikisha kojoa, hii hunipelekea mpaka sitamani tena kufanya tendo wakati mwingine naweza kaa hadi miezi 4 maana hata nikitamani kupiga mzigo nikikumbuka tu ile hali huwa naahirisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.