Nilianza kukaa geto siku jirani yetu aliponunua friji. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na kama elfu 50 mfukoni. Basi mida ya jioni jirani anashusha friji mpya kwenye box, mara akaomba nimsaidie kuingiza ndani. Baada ya hapo akatoa friji kwenye box. Lilikuwa box zuri, refu na lenye unene. Ghafla...
Wataalamu waje hapa. Maana kuna ndugu yangu alikuwa mgonjwa hata kula akawa wa kulazimishwa. Kuna siku alidai ana hamu ya ugali na maziwa. Alipoletewa alikula hadi tukapata tumaini, ila niliona wazee wakiwa na wasiwasi sana. Kesho yake alfajiri alifariki.
Mawazo ya kijinga sana!! Kumbuka uchaguzi mkuu 2020 hakutakuwa na kupeana kampani kama ilivyo chaguzi za marudio! Kila mtu atakomaa na jimbo lake na sound zake!! Hata mzee jiwe na Sili-nde watakuwa wanapambana na majimbo yao! Hali itakuwa ngumu sana, jasho litawatoka na sauti kukauka! Watatamani...
Anachofanya Chindo "Umbwa mzee, nyang'au" ni kutuumiza wapenzi wa hip hop tuliodhani hatabadilika! Ili poa, inabidi sasa muziki uanze kumlipa na maisha yaendelee. Kwakuwa Watengwa ndio kundi pekee Afrika lenye marapa zaidi ya kumi, naamini wengine wata-takeover!!
Sasa Fid nae kwasasa utasema ni Rapper?? Dizasta ni mzuri ingawa nae pia atakuja kubadilika kama Joh! Kwangu JCB bado ni Rapper bora Bongo na anaefuata misingi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.