Miyonga English Medium inawatangazia nafasi yakazi ya
Muhasibu anahitajika mwenye level ya Diploma ya Uhasibu(Accountancy) au Finance, awe tayari kufanya kazi Ruaha-Kilombero, Wadada na wakazi wa Kilombero watapewa kipaumbele. Tuma CV na barua ikiwa imembatana na copy ya vyeti vyake halisi...
Miyonga English Medium inawatangazia nafasi yakazi ya
Muhasibu anahitajika mwenye level ya Diploma ya Uhasibu(Accountancy) au Finance, awe tayari kufanya kazi Ruaha-Kilombero, Wadada na wakazi wa Kilombero watapewa kipaumbele. Tuma CV na barua ikiwa imembatana na copy ya vyeti vyake halisi...
Zamani wanaume walikuwa wakihudumia familia zao bila mchango wa wake zao. Lkn sasa wanatafuta wanawake wenye kazi ili wapige pasu ktk kutoa matumizi ya familia.
Mnyonge mnyongen lkn haki yake mpen,Mimi binafsi nampongeza kwa juhud zake. Kipindi yupo Kagasheki isingekuwa rahsi kujua nini anafanya hata angefanya kazi kias gani pongezi zilikuwa zinaenda kwa aliyekuwa boss wake Kagasheki ila kwa wanaomfatilia sana aliwekeza sana kwenye kuutangaza Utalii nje...
TIN means ni namba ya mlipa kodi na mlipa kodi hawezi kuwa na namba zaidi ya moja,kama uliwahi kuchua TIN namba ukakatia resen ya Driving lecence au kama ulinunua gari ukarisajiri kwa jina lako ndo hiyohiyo utakayoitumia ukitaka kufanya biashara cha kufanya utaenda TRA utawaelezea kuwa unataka...
Aghrrrr!
Mungu tusaidie, Ulikuwa unawaza nini wakati unaingia ktk mahusiano mapya,ilikuwa stress ama? Huyo mdada mwenye mtoto nampa pole sana kwan hata ukifunga nae ndoa itakuwa kama funika kombe mwanaharam apite make kwa maelezo yako inaonesha kama humpendi,kila mtu anamapungufu yake hamna...
Aghrrrr! Yaan hata sijui nisem ni adhabu kias gani inakufaa,twelve years unampotezea mtu mda wake na tayari ushaharibu mpangilio wa maisha yake?Anyway nisikuhukum huyo dada uliyemuacha kwa wazazi wako na mungu ndo watatoa hukum yako ila ulichofanya ni kitu kibaya sana.
Unachotakiwa kufanya ni...
Pole kwa wale wote walioguswa na vitendo vya hicho kikundi.
Miaka ya 2000 hadi 2007 ilizuka tabia ya kufyeka mashamba ya watu na saa nyingine kubomoa hata nyumba,matukio ya hivyo yalitokea wilaya karagwe hasa kata ya kituntu na hayo yalikuwa yanafanywa na kikundi cha watu walikuwa wanajiita...
Pole kwa wale wote walioguswa na vitendo vya hicho kikundi.
Miaka ya 2000 hadi 2007 ilizuka tabia ya kufyeka mashamba ya watu na saa nyingine kubomoa hata nyumba,matukio ya hivyo yalitokea wilaya karagwe hasa kata ya kituntu na hayo yalikuwa yanafanywa na kikundi cha watu walikuwa wanajiita...
Huyo wa shost yako hatari hata kama ni wivu huyo kazidi,je yeye atajisikiaje pale mkewe atakapokuta no za wadada kwenye simu yake akamwambia kuwa ni wanawake zake? Mie nachukia sana wanaume wenye tabia za hivyo wengine tumezoea utani na saa nyingine unakuta compan yako kubwa ni wakaka.
Huwa sipend kabisa hizo mambo,na mwingine akishamtuma muhudum alete kinywaji nae baadae utamuona anajileta eti samahan aunt tunaweza kukaa wote? Sijui wanafikiri ulikotoka umekosa wa kwenda nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.