Wakuu salam,
Kama title inavyojieleza naomba mnisaidie kujua gharama za mita za wapangaji, niepuke migogoro ikiwezekana na mahali zinapopatikana.
Asante
habari zenu wana JF,
nimekuja tena kuomba msaada wa kibarua hali imekuwa ngumu, baada ya kuzunguka kutafuta ajira rasmi ya kufundisha kwenye shule bila mafanikio niligeukia kwenye kazi za vibarua kwenye ujenzi angalau niweze kulipa kodi na chakula hapa mjini Dar es Salaam.
Wiki iliyopita...
Wakuu habari,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni kijana wa miaka 24, nimehitimu chuo mwaka huu UDSM fani ya ualimu History na Kiswahili ninaishi Dar es Salaam.
Ninaomba mnisaidie kupata kazi yoyote ya halali maisha yasonge hali yangu ya kifedha sio nzuri. Nilijaribu kufanya...
wakuu habari?
nimepata changamoto ya hii simu samsung c7pro inaleta ujumbe kuwa ina unyevu kwenye pot ya usb hadi imekataa kuchaji ikiwa imewashwa hadi izimwe.
nimejaribu kukausha na hewa ya moto bado tatizo lipo palepale.
naomba mnisaidie suluhisho lake hapa ni nin.
NB; haijawahi kuingia maji
HII NDOTO INANIUMIZA KICHWA.
Nililala nikaota, sikumbukagi ndoto ninazoota lakini hii ya leo ninaikumbuka vizuri na inanikosesha raha; NATAKA KUWA MUASI WA MASUMBWI naweza kuita ndoto yangu hivyo maana ndivyo nilivyoota.
Nimeota nilikuwa kwenye uwanja wa masumbwi nikiwa mpenzi na shabiki wa...
Inafanya kazi zote 3 print scan copy
Matumizi mazuri ya wino print page 15000
Inatumia wino 4 vitenki vya nje na ni rahisi kujaza unapoisha.
Printer imetumika muda mfupi miezi 3 haikufanyia biashara inatumika kwa matumizi binafsi.
Bei ni 360,000 maongezi yapo, inahitajika hela ya haraka.
Ziada...
Binafsi mimi sio mshabiki wa hii kampuni kabisa ingawa baadhi ya matoleo yake ya soda kama fanta niliifurahia kidogo watu walilalamika kuwa haina ladha halisi ya matunda kama ilivyosifiwa lakini ilikubalika kidogo na watu waliikunywa nikiwemo mimi.
kutokanana maoni ya wadau hasa watumiaji wa...
Wakuu salam,
Kama title inavyojieleza kuna binti mmoja amekuwa rafiki yangu kwa muda mrefu sasa kama miaka 2 hivi.
Binafsi nilitokea kumpenda sana ila wakati nataka kumueleza nikagundua kuwa ana tatizo la kifafa tangu utotoni na anatumia dawa za kumzuia asianguke kila siku.
Kwa sasa nahisi kuwa...
SOMA HADI MWISHOO
Katika kiwanda kimoja kilichojishughulisha na uzalishaji wa nguo za ndani (pichu), meneja wa kiwanda alipata hasara iliyotokana na idadi ndogo ya pichu katika mauzo tofauti na idadi ya uzalishaji.
Baada ya kufanya ukaguzi wa hitilafu kwenye mitambo akakuta kuko salama, akaamua...
Wadau salam Nina Nokia n9 ambayo internal storage yake ni 31GB lakini katika matumizi ya simu inalazimisha kutumia almost 600 mb
Pia application nyingi zinacolapse zenyewe.
* ni 4G LTE
*android 7.0
*internal 30gb
Mwenye uelewa wa jinsi ya kusolve hili tatizo anisaidie au wap nitaweza kupata...
Kama Sera y serikali ya awamu ya 5 ya viwanda na kurahisisha maisha ya watanzania hasa kauli mbiu ya serikali ya maskini na Tanzania ya viwanda ambayo shabaha kuu ni maisha ya watanzania.
Binafsi sioni kama kuna dalili ya maisha ya Watanzania kupunguzwa makali yake, na hata kama dalili hiyo...
Jamani habari zenu kama title inavyojieleza hapo juu nina ndugu yangu ana tatizo la uume na jirani yake unakuwa wadogo na kuzama ndani naomba msaada wenu kwa wenye utaalamu juu ya hili
Habari zenu wana jamvi, Naandika uzi huu nikisikiliza wimbo wa LUCKY DUBE unaitwa “Victims” kisha naiangalia Tanzania yetu really we are victims of our own actions, decisions and blood.
"Victims"
Didn't know she was crying
Until now as she turns to look at me
She said boy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.