Sijui anaumwa nini amekaa sana india halafu lumumba walianza kutudanganya mara kinana AHUDHULIA MKUTANO WA VYAMA TAWALA WA JUMUIA YA KUSINI YA AFRIKA Sijui bado yuko kulekule hata hapo pichani sijamuona.
Ndio mi nipo moro na mikoa niliyotembelea haina stend kama ya moro kwa huku afrika mashariki nafikiri inaweza ikawa ni moja ya stand bora na ya pili ktk stand nilizowahi kuziona nyingine iko nairobi kwa tz ni hii tu ya hapa morogoro.
uliza tena.
Hawa jamaavhawa kwa kutusahaulisha mambo yao ya nyuma hawajambo mfano huu hautahauliwa eti konoike wanatudai kutokana na ujenzi wa barabara hatujawalipa tunawapamna watz wasahau ya jana nani atakubari aje kujenga reli wakati kila anayetudai hajaanza hata hajaripwa hata buku
Reli ya moro...
Huyu ilitakiwa awe bwana shamba tu kuchunga kitimotozi na simbilisi na nguchiro ,sasa kawa rais mwenyewe alikili kuwa hakuwa tayari haha kwa wazungu hataenda mpaka kufa kwake.
Acha upomole wewe uliambiwa nchi imekabidhiwa washamba na washamba wenyewe ndio hao wanaoona kuongozana na wanajeshi ni kama kuonekana ni mungu ni kikundi cha kishamba.
Aaj sidhani kama kuna wtu wa kuha upinzani kwenda ccm lakin ni kwa nini iwe csm tu vyama vingine havina watu wa kuhamia cvm mh hapo nina waswas hii kitu ni ya kubumba
Sasa tunawaonea huruma wale kule cc wenyewe tuko njiani kwani tinauana kwa tofauti ya itikadi za siasa hakuna anayekemea mawazo Ben na watu alokotwa ruvu na ponpona ya tundu lissu ni mifano kuelekea kuuana.
Kama hivi ccm inazidi kupolomoka toka kwa teacher mpaka sasa imebaki ccm ya watu wasiojulikana ndio tunaelekea kuisha hivyo basi tuombe tutawaliwe na "act" kwa sababu ccm imeomba lift kutawala[emoji13] [emoji13] [emoji13]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.