Lissu ndio habari ya mjini. Watuambie tuu Lissu aligombana na nani.amemdhulumu nani. Wenye ugomvi na Lissu si wanajulikana ? Wale wasio na nia njema na nchi yetu ? Wanaotutia hasara kila siku.madeni yasiokwisha,kesi zisizokwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ukiwa wapi dawa,hakuna, usicheze na aliekuzidi. Bado korosho.Nina uzoefu wa nn kilichowakutta wakulima wa kahawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe maoni yako kuh. Mbaazi,makinikia, samaki ,yakoje kwako hujapaweza unarukia kwa waliokuzidi ? .umeweza kupima hicho kichwa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.