mama president ameeleza kwa lugha ya kueleweka kwa pande zote yaani serikali (TRA) na kwa wateja wao kwa upande mwingine. alichomaanisha mama, makusanyo kupungua ni sahihi na yatapungua kweli hasa yale yaliyotokona na watu kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na matumizi makubwa ya task force ili...
NIMELIANGALIA HILI PICHA LA KUTISHA KWA ZAIDI YA SAA MOJA.LISSU NI HABARI NYINGINE, NGOJA NIDUNDULIZE CHENCHI ZANGU ILI NAMI AJAPO HUKU KWETU NIWE NA SADAKA YA KUCHANGIA UHURU HAKI NA MAENDELEO YA WATU,
Ndugu wa kweli huguswa na matatizo yako tangu awali na hushiriki moja moja na katika kutafuta suluhu ya tatizo.Ukiona una ndugu ambaye mpka umuombe msaada ndio akusaidie ujue kilichopo hapo sio yeye kuguswa na matatizo yako bali maombi yako ndio yamekusaidia mana bila hivyo ungeambulia patupu.
vyama vyenye wawakilishi bungeni, mabaraza ya madiwani .kata, mitaa na vijiji vimeshjitoa. Baadae vikafuatia vile vyama ambavyo walau viongozi wake wakuu wanafahamika.Vilivyobaki sidhani kama hata viliweza kufikisha wagombea 10 kwa ujumla wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.