Hivi huyu Babu Ambilikile Mwasapile alitunukiwa nini na taifa hili kama tuzo ya heshima kwa ugunduzi wake wa muda mfupi uliokonga akili na mioyo ya wasomi na viongozi wakubwa wa taifa hili na hata majirani!!!!!!!!!!!!!
Hivi huyu mama Tery si nakumbuka kipindi cha nyuma alikuwa anafanya sana campaign za ukimwi kwenye stations za redio nae akiwa mwathirika?wanawake wote wenye akili na ambao ni wife material hawashughuliki na hayo mafundisho yake.na ukikuta anaehangaika nae ni wale shindikana(majumbani) au...
Mtu mwenye akili si lazima aongee kama hana la maana!Wote twajua wezi hawamwgopi mbwa kwa sababu ni mbwa!ni kwa sababu yuko macho usiku lindoni kubweka na kufukuza wezi.
Anae weza kuzungumzia habari za Lissu kwa namna ya mzaha namna hii ni shetani mwenyewe ambae hana cha kupoteza tena mana kama ni hukumu kasha hukumiwa kitambo.Hata huyo aliyehusika na jaribio la kumuua hana uwezo wa kusema haya kwani hakuna siku nafsi imeacha kumsuta na kumhukumu hata kama...
Hivi kabla ya kuwahusisha wazungu au mgeni yeyote awaye yote toka nje,ya nchi yetu Tanzania sisi watanzania wazalendo wenyewe tunayaona hayo yanayo lalamikiwa au kusemewa na wazungu?Na kama yapo je tumeridhika nayo kama sehemu ya maisha tuliyokuwa tunayamani kwa muda mrefu?
Mkuu kama hizi habari ni za kwel,i wasubiri malipo ya umalaya wao wa siasa!Nitashangaa sana mtoto wa kambo kutunzwa kama mtoto halali!Hayo mamilioni waliyo hongwa lazima zitawatokea kwenye matundu mengine ya mwili!
Kama wenzao walio alikwa kistaarabu jumba jeupe,mwisho wa siku wameelezwa wazi...
Kwa Ole Milya kujiuzulu uanachama na ubunge wa CHADEMA na kijiunga na sisiemu sasa nimeanza kushawishika kuamini kuwa mbali na kufika bei kama ilivyo zoeleka sasa,kuna lingine nyuma ya pazia.Ni vyema na ni busara sasa uongozi wa juu wa CHADEMA uukubali ukweli kuwa kuna shida kubwa ndani ya...
Mkuu afadhali umemjibu huyu kenge maji!Ila wale wanowakamata wachochezi mbona wana ubaguzi?huyu angefa kukamatwa na kuhojiwa ni wapi watanzania wamepinga kununuliwa kwa ndege?Watu walihoji mchakato mzima wa ununuzi wa hizo ndege haukuwa shirikishi kwa vyombo husika ili nao watoe ushauri wao n.k!
Sijui siasa zina sumu gani kali hivi ya kufisha akili,utu,ubinadamu na hata hofu ya Mungu!Mtu utamkuta ni msomi mzuri na wa elimu kubwa,ila akiingia kwenye siasa ni AIBU tupu!Kabla ya siasa utamkuta mwingine ni muumini mzuri sana ktk IMANI yake lkn akionja tu siasa anamfananisha Mungu na mjomba...
Mkuu kama ni hivyo pole sana maana mpira uko kwa maadui tena golini kwako!
Ikishindikana tafuta wazee wa kwao wenye busara na hekima walishukhulikie hilo!Kwani ukimbana sana anaweza kukutesea dadako pamoja na wanae( wajomba zako) kama kigezo cha kukutuliza!
Duh.Kweli huwa nawashangaa binadamu tulivyo!Hivi kwa sasa moyo wake na familia yake ikoje anapomwona ndg yake anavyoteseka hivyo?Au anadhani yeye ataishi milele?
Hii ni kujito ufahamu kama watoto wa mjini wanenavyo!Ni peak gani ya kupendwa anazungumzia huyu???????????
Hivi kuwalazimishia watu wazi wazi wakuchague ili wapate haki zao za kikatiba ndio mnajinasibu kupendwa?
Ni mara ngapi tumeshuhudia hata kiongozi mkuu akiwananga watanzania kwenye maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.