Hapa Tabora ni kwamba kuna siasa za makundi ambapo ndizo zaathiri yote, na wakubwa zaidi hususan wale majemedari wa mkoa/wilaya na halmashauri ndio vinara wa mipango (deals). Hivyo itokeapo jamboa lao ama likazuiwa au likakawizwa...basi yule anayekawiza hutoweka kabisa duniani na si kutoweka ktk...
Haya ndio mauaji ya siku hizi hapa Tabora, ni mambo ya kisiasa na wanapopingana juu ya miradi hewa ndipo DHAHMA kama hizi hujiri kwao na huwa ni risasi tu. No dialogue, can't negotiate
WanaJF,
Usiku wa kuamkia leo mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora (Mh. Mashaka) ameuawa kikatili kwa risasi akiwa nyumbani kwake eneo la Ipuli nje kidogo ya mji. Ameuwawa akiwa na familia yake ambapo inasemekana ni wezi, iko hivi...
Nyumba yake imepigwa jiwe kubwa mlangoni...
Wadau,
Sisi tunajishughulisha na uuzaji wa simu rejareja na jumla, simu zetu zote zina warranty ya miezi 12.
Sisi ni Nokia- SUPER DEALER
Sisi ni Motorola- AUTHORISED DISTRIBUTOR
Sisi ni Blackberry- AUTHORISED DISTRIBUTOR
Sisi ni Zedd phones- AUTHORISED DISTRIBUTOR
Sisi ni Samsung- PRIORITY...
Wapendwa,
Tunapenda kuwakaribisheni wote kuwa kwa yeyote mwenye kuhitaji simu original na zenye waranty ya mwaka mzima (nokia, samsung, LG, Blackberry all models, Sonny Erricsson)...chonde atuone kwa mawasiliano ili tumpokee na kumpatia mahitaji yake katika simu za viganjani na hata zile za...
Mkuu,
Usihisi bali ndio UHALISIA.
Elewa kuwa TFF & CECAFA hawaangalii kombe linaenda wapi, bali je gharama za kuendesha mashindano zinarudi vipi na kupata salio la kuendesha CECAFA kwa mwaka mzima. Maana zikikutana timu hizo gharama zooote za uendeshaji zitajilipa huku salio zuri tu likibaki.
Ni mabadiliko ya siasa za Thai, hata hivyo bado nashindwa kung'amua jinsi nchi itakavyoendeshwa na dada wa kiongozi aliyepinduliwa. Nadhani ni busara kwa Thaksin kutorejea haraka nchini mwake ili kuepusha ghasia zinazoweza kufuatia jeshi la nchi hiyo kumfurusha aliyekuwa PM miaka kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.