Kaka aaaanh aaaaanh. Usifike huko sasa. Sisi wanaume bwana. Kuwa na heshima bwana. Tuheshimiane bwana. M200 aaaaaanh. Tumekuheshimu tunachangia mada unapoelekea pabaya sasa.
Tajiri kijana kabisa. Kijana mtanashati. Kiongozi mkubwa kabisa pale TCB.
Vijana walistalk ili wapate video wazitumie kupiga hela. Kijana ndio mambo yake huyo. Ishukuriwe tripple 7 imefungwa. Ndio vuna pesa style yake huyo.
1.Hakukuwa na sababu ya kuhama uwanja.
2. Sheria inamruhusu home team kutoa taarifa kwa age group registrar kuhusu mechi reschedule na si away team, yaani kama unasema ruvu wamefosi kucheza mechi wako sahihi na sheria ipo uoande wao.
3. Manager wa pitch hutoa taaarifa kusitisha auu kuendelea kwa...
Thread inaendelea,
Asian CL semi finals pia viwanja vilipata hali hii hii kama uwanja uliocheza leo yanga, naongelea semifinals tarehe 16 april, kutoka a na mvua hizi hizi, ilibidi michuano isimame. Wewe bwana sasa unaongea humu na pointless opinion wewe kama naanni? Mbona mawazo yako ya kitoto...
Mwaka huu april 10, uwanja huo huo, game kati yaa dundee naa rangers, ilihairishwa kwasababu ya uwanja kujaa maji. Na haujafingiwa, next game mbungi likapigwa, tena uwanja ukiwa lapulapu, ila mvua haikunyesha na game likaishia 0-0 kama jkt na yanga.
Ww umepata nguvu wapiii? Kusema TFF Waufungie uwanja. Yaani kisa maji, kisa kuhairishwa ndio ufungiwe? Unaleta hisia kwenye vitu vilivyopangwa tena bila wewe kuhusika?
Watanzania tubadirike tukikosa facts basi tusome tuestablish atleast some facts, huu ujinga gani umeandika, yaani ndio tungekua...
Sababu zpo nyingi tu kwa uliowataja.
Ugonjwa gadner na gamba
Ajali fredwaa dereva alikua amelewa.
Prince alifariki akiwa kwenye session ya maazoezi ya viungo akiwa kwake. Hii hata gym ya sinza pale mapambano vijana watatu washafariki wakiwa mazoezini.
Hivo kuna umri shughuli huwa nyingi...
Sakata lilianza gadner alipopata dili la utangazaji kenya, jide akagoma enzi hizo. Kwasababu ya michongo yake ya machozi band, nyumba mpya kimara, na biashara zingine. Na gadner ndio alikua managing director wa hayo mambo, baadae gadner akakubali kuachana na dili, ila sasa balaa likaja kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.