Hoja zipi? Yeye kakwambia kwmba unatakiwa ufurahie so why uaze kuonesha mahaba kwa chadema tena we ni mbunge wa CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Juliana Shonza hata hatuna haja ya kukujibu kwa hoja kwa kuwa hoja zako ni dhaifu sana. Ushauri wangu wewe ni mbunge viti maalum now hebu jikite kutafuta Jimbo la kugombea najua ulishazoea kuandika ujinga kuhusu chadema ili upate elfu saba kwa kazi hiyo kwa siku.
Na ninajua umeshaathirika na...
Mjomba nadhani wakati huu ungefanya kazi ya kuijenga chana yako chakavu. Ombwe unalosema liko Kwa Magufuli nadhani uaze kwanza kukosoa huyo rais wako Butu kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee usijaribu kumlinganisha huyu Mjinga wako na Mwl Nyerere utapata laana. Mwl JK alisimamia Katiba ya nchi. Halafu aliyepost ukiuliza utaambiwa ni msomi wa chuo kikuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nani anayetumiwa na Wazungu kati ya aliyeuza nyumba za serikali kwa kufuata maneno ya wazungu ya UBINAFSISHAJI? na Anayesema huyu ni mharibifu anahitaji kukemewa kwamba azungatie sheria za nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA Dr. Wilroad Slaa salaam!,
Nimesoma thread yako nimeipenda sana hasa kwenye kukumbusha Sheria na utaratibu wa kuendesha siasa. Lakini kuhusu la kukamatwa Kwa Katibu Mkuu wa CHAD EMA Dr. Mashinji ni kwamba taarifa zilipelekwa polisi na waliridhia.
Hadi siku ya...
Yaani tujue logic ya andishi lako ulipaswa kurefer miaka at least mitatu nyumba kwa kuwataja waliowahi kuwa marais wa TLS hapa kwetu pengine logic ingeonekana but now najua dawa Kali mnalazimishwa kunywa.
Mbona hutaji marais waliopita walikuwaje. Wanasiasa au siyo? Lakini kwa nini una predict sasa kabla hata hajaaza kazi ili tuone hiyo conflict of interest kama Ipo?
Kama chini fikiri upya. Hapa panaitwa the home of great thinkers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.