Habari wana JF,
Kwanza nifurahi kwamba nipo miongoni mwenu na haswa katika kuwasilisha suala ambalo kila mmoja wetu linamgusa kwa namna moja au nyingine.
Mimi ni mdau wa MMU, napenda yale yote yanayohusisha mapenzi na mahusiano kwa namna moja ama nyingine. Leo hii ningependa tushirikiane...
Habari wana Jf,
Katika kusoma ripoti ya Benki ya Dunia juu ya hali ya Uchumi wa nchi yetu Tanzania, nimevutiwa na nimeona si vibaya niliwasilishe hapa ili tubadilishane mawazo ya kile ambacho tayari tunakielewa, kile kilichopo katika ripoti kama tunakubali au kukataliana nacho na msingi zaidi...
Habari wana Jf,
Mara ya mwisho nilizungumzia juu ya baadhi ya sababu ambazo hufanya wengi wa wanaume kusita/kusua sua kuingia katika ndoa kupitia mada hii -...
Habari Wana Jf,
Leo nazungumzia wanaume na kusua sua kwao kuoa.
Vijana wengi wa kiume hujikuta katika wakati mgumu kuchukua maamuzi ya kuishi na mwanamke japo yawezekana wakawa wanatamani kufanya hivyo kwa muda mrefu kutokana na vikinza vingi, vingine vikiwa ni vya kimaisha na vingine ni...
Habari wapendwa wa Jf,
Leo ni siku kubwa kwangu… Siku yangu ya kuzaliwa Kwa misingi ya siku niliyoingia hapa duniani ni tarehe kama ya leo June 23 miaka mingi iliyopita.
Naomba nitumie nafasi hii kuongelea MTAZAMO wangu juu ya kuzaliwa kwa mwanadamu.
Mie naamini kuwa mwanadamu...
Wapendwa wa MMU nawasalimu with Love,
Katika ulimwengu wa utongozaji mambo yamebadilika sasa to the extent hata akina dada/mama huwa tunajilipua once in a while. Ila ukweli unabaki bado kwa kiasi kikubwa wanao ongoza kutongoza ni akina kaka/baba. Na katika kutongoza huko wengi huwa na sababu...
Habari wana Jf,
Huu ndio mtazamo wa ndugu Zitto kwa ufupi juu ya suala la Mtwara.
Zitto Kabwe:
Serikali iangalie upya namna inavyolitazama suala la Mtwara. Hivi sasa suala hili linaonekana kiusalama zaidi badala ya kuliona kama suala la kijamii na maendeleo lenye kuhitaji kujenga imani ya...
Wana Jf,
Nina habari za kusikitisha za Maxence Melo na ndugu yake Chrispine Ndyamukama wamepata ajali mbaya ya gari katika barabara kuu iendayo Mwanza kilometa chache kutoka Nzega mjini.
Ndugu zak wamesema hali ya Maxence kwa sasa si mbaya sana na walikimbizwa katika hospitali ya Rufani ya...
Habari wana Jf,
Kwa mara nyingine tena nimeona vema nishirikiane nanyi katika hii hoja ya kujiachia kwa miili yetu katika kufanya mapenzi na wapenzi wetu. Hapa ninaposema kujiachia sina maana kujiachia wakati wa faragha kufurahia tendo… Bali nazungumzia kujiachia kwa bahati mbaya ama...
Habari wana JF,
Kawaida kama wanadamu huwa tunakuwa na matarajio ya vitu mbali mbali, na matarajio hayo huegemea tokana na viashiria vinavyowezesha haya matarajio ku materialise. Tumetofautiana katika kusoma viashiria hasa pale amapo viashiria hivyo kuwa ni vya ku donoa donoa! Ingawa kuna...
Habari wana Jf,
UDINI… Ni jambo ambalo wazi kabisa lipo katika jamii yetu na kuwa umeamua kuja kabisa na kiti na kukaa hapo bila dalili ya kutaka kuondoka.. Dini ni suala la MSINGI katika maisha ya kila siku ya mwanadamu hasa kwa wale watu wa Imani. Haijalishi upo dini gani; kila dini...
Habari Wapendwa wa Jf na wana MMU woote...
Kwa mara nyingine nashare yale niliyo nayo katika mahusiano yetu haya ya kila siku ambayo tunafurahia na wakati mwingine kutuendesha.
Ukiwa na mtu (mpenzi au rafiki, mchumba ama mwenza) mara nyingi matarajio huwa ni kufurahi na kufarijika juu ya...
Wana JF,
Baada ya maombi ya Yericko Nyerere na Nnauye Jr kuwa wawe na mdahalo wa wazi, JF imeniomba niusimamie mdahalo huo baina ya wawili hawa.
Yatagusiwa masuala kadhaa lakini hatutakwenda kwenye personalities. Yatahusu siasa zetu na vyama vyetu vya siasa nami nitajitahidi kufuatilia...
Habari wana JF,
Nimebahatika kuwasiliana na Mbunge wa Kigoma kwa ticket ya CHADEMA, Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe; na kuwasilisha ombi langu la kumhoji 101 kwa kupitia mtandao huu wa JF kwa ruhusa ya Maxence Melo mmoja wa JF Founder. Bahati nzuri sana kiu yangu juu ya kuweza pata hiyo nafasi...
Habari wana JF,
Hapa nilipo kuna kibaridiii... Nimejipongeza kwa kunywa chai ya maziwa ya viungo. Nimeona sio mbaya nikishare hii ladha ambayo naona ni nzuri sana hasa pale ukiipatia.
Kuna baadhi kupika chai ya maziwa ya viungo inawashinda ingawa wanapenda. Yaani akiweka viungo anashangaa kuwa...
... Mtambuzi ...
ukiwa sio tu kama moja ya kaka na rafiki yangu hapa jamvini bali pia kama
mmoja wa member ambae huwa nafurahia uwepo wake kwa mada mbali mbali na mijadala
ya hapa na pale ambayo huwa tunabahatika kukutana katika jamvi...
Naomba nichukue nafasi hii kukupongeza kwa siku yako...
Habari wana JF,
Hii thread imekusanya topic zote zilizokuwa sticky's zikiwa awali zimewekwa kwa urahisi wa kuwafikia/kuipata watumiaji mbali mbali ambao wanahitaji kuelewa baadhi ya mambo katika baadhi ya threads.
Hii ni moja ya njia ya utatuzi wa kupunguza idadi za Sticky's katika Jukwaa...
Hi Dears...
Nikiwa in one of those days usingizi umeenda kwao na my fellow members siwaoni jukwaani nimeona nifanye upekenyuzi. hahaha Kumbe kila member ambaye ni JF ana picha hapa jukwaani ya ukweli na halisi kabisa... Nimeenda kufukunyua picha zote na kuzileta hapa! lol,
Anaetufungulia ni...
Habari wana MMU na JF as whole,
Kutokana na malalamiko ya baadhi ya members na mimi mwenyewe kuunga mkono malalamiko hayo nimeomba kwa mkuu Invisible katika thread ya Ngabu kuweza andaa thread ambayo itakusanya thread zote ili kupunguza idadi ya Stickys ambazo zote zitakuwa katika sticky thread...
Habari wana JF,
Hali ya nchini kwetu Tanzania hadi hapa tulipofika kwa sasa haijalishi kuwa tunaenda wapi mana tayari tumefika pabaya… Kwa kundi ama hali yoyote ile ifikapo pabaya dawa pekee ni suluhu ya hio hali mbaya iliyopo iondolewe mara moja kwa njia mbadala. Ikumbukwe kuwa unapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.