Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili sasa Korosho za wakulima zimeshindwa kwenda mnadani katika vyama vya msingi vilivyo vingi kama si vyote.
Kinachoelezwa chanzo ni ukosefu wa Magunia ya kuhifadhia na kusafirishia Korosho. Hali hii inaharibu kama si kuua soko la Korosho ambalo linaingiza mapato...
Toka serikali ilipotangaza nafasi za ajira kwa wahitimu wa masomo mbalimbali kwa wale wenye shahada na stashahada kupitia mtandao kwa kiunganishi http://196.43.65.187, kiunganishi hiki kinawasumbua sana waombaji. Muda mwingi ukijaribu kukitumia ili uombe au uhakiki basi huwa mtandao haupatikani...
Kwa masikitiko makubwa sana wazazi na wahitimu wa ualimu wa masomo ya Sanaa katika awamu ya uongozi huu wanaskitika kwani unaonyesha ubaguzi wa Hali ya juu kwa visingizio vya kukuza sayansi nchini.
Hivyo walimu wa arts wanaonekana si kitu chochote na hivyo wameachwa mtaani wengine wakiwa...
kiukweli, Airtel ni mtandao makini, baada ya kushindwa kupokelewa fedha kiasi cha laki 5 kwa mtu niliemtumia, huduma kwa wateja walifanya jitihada kubwa sana. Walinipigia simu zaidi ya mara 3 ili kushauriana nini kifanyike ili pesa isipotee! for sure i praise you for your efforts. Hatimae pesa...
Miongoni mwa madiwani waliojiuzulu wakiwa Chadema kwa kile walichosema ni kumuunga mkono Rais John Magufuli, wameanguka kwenye kura ya maoni ya CCM ngazi ya kata.
Kuanguka kwa madiwani hao ni kinyume cha ahadi ya Rais Magufuli aliyoitoa akiwa mkoani Arusha ambako alipendekeza madiwani hao...
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs...
Hata ukikata damu yangu ni lowassa tupu so Wanangu wa ukawa vidole viwili juu! ROMA MKATOLIKI kijana wa Simba. Miongoni mwa wasanii wachache wenye chembe ndogo ya unafiki, ama hana unafiki katika siasa anaamini katika mageuzi ya Kweli.
Kwa upeo wangu mdogo Namuunga mkono nikiamini kuwa...
Mwanamke mwenye ndevu kuliko wote Duniani akitabasamu kwa amani kabisa.
Hivi huyu hana genes za Kiume Kweli?
Na ametajwa katika Kitabu cha Guinness kuwa anajisikia amani kuwa alivyo.
Wakuu kwa mwenye ujuzi wa kutosha kuhusu kilimo hiki naomba kujuzwa. kuhusu mbegu kiasi gani kinahitajika kwa hekari , changamoto ya magonjwa na Wastani wa mavuno kwa hekari ni gunia ngapi za maganda na ni sawa na ngapi zilobanguliwa? Niko motivated kulima karanga lakini nahitaji kujua zaidi na...
Sisi wadau wa ROMA mkatoliki msanii wa Hip Hop tunatamani sana kusikia na kuona Ngoma mpya kutoka kwako.
Kwa matukio yalivyo sasa naamini una mengi ya kuyazungumzia kwa Kuangalia uongozi wetu wa awamu ya 5. matukio ya Mwafwaaa, Bashite, Kuliwa kwa fedha Za wahanga wa tetemeko, fukuzana ya CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.